Saad haroub
New Member
- Mar 26, 2012
- 3
- 0
BY ECONOMIST SAAD.H.FEREJI. "Underceteriz peribus",watanzai tuamke na tubadilike kifikra,busara na maendeleo ya kudumu ya KIUCHUMI. tunaweza kuongeza mita ya kibiashara kama vile fedha,mitambo mbalimbali nk. Kwa kupitia mikopo kwenye mabenk kama vile ACCESS BANK,CRDB,NBC,STANBIC BANK N.K. Kwakufanya biashara kupitia mkopo sio swala la aibu but niswala la maendelo ktk UCHUMI.kikubwa zaid andaa business proposal,colateral securities, and specific account. All in all YESTERDAY WE WERE SWEEMING BUT NOW WE ARE GOING TO DIVE. Hakuna kinachishindika watanzania tuache UVIVU! Kwa maendeleo yutu na kukuza uchumi wetu.