Maendeleo Mbagala Rangi 3 yamekuja na Kushamiri kwa biashara ya ukahaba

Maendeleo Mbagala Rangi 3 yamekuja na Kushamiri kwa biashara ya ukahaba

Wakuu kheri ya mwaka mpya.

Naam kwakweli kila maendele yamekuwa na changamoto leo hii Mbagala inakua kwa kasi sana kwa wafanyabiashara kuwekeza pesa zao kutoka na kuongezeka kwa watu na kushamiri kwa biashara.

Mabaa yamejengwa, Nyumba za wageni na za kupanga kupelekea sasa kuongezeka kwa biashara hii ya ukahaba.

Vijana wadogo wanafanya umalaya hadi kwenye makazi ya watu na kutuharibia watoto(wadogo zetu).

Mwanzo ilikuwa maeneo machache tu Pale Masakuu, Sokoni na njia ya Kiburugwa sasa biashara iko Round about ya Charambe kwenye night club maarufu kwa sasa Hotline, Zuen pub, shule ya msingi Rangi 3 uwanjani panapojengwa shule ya sekondari hadi vichochoroni na maeneo mengi kiufupi ukahaba umesambaa kwa kasi sana.

Wenye mamlaka kama wasipothibiti hii hali yumkini miaka michache ijayo mbagala itakuwa Tandika mpya na itapoteza mambo mengi na tayari itakuwa sio salama kuishi na familia zetu.


NB: Najua kuna wadau watakuja kushambulia ila katika jamiii iliyostaarabika ukahaba kufanyika mtaani ni hatari kwa kizazi chetu hasa kutokana na haya magonjwa.
Umenena vyema. Sema sio kazi ya mamlaka kukabiliana na ukahaba. Hili ni jambo la kiroho, na jukumu la kujenga maadili hupatikana nyumbani na ibadani.
 
Elfu mbili na tisa ukakavisha chuma?inasikitisha!

By the way mleta mada mkuu feyzal kinachotokea hapo Mbagala ndicho kilichotokea Mbezi,Mbezi ya zamani hii ya Morogoro Rd uelekeo wa Goba kwenda vile Magufuli Terminal kote wazazi wamekimbia hili janga sasa hivi kunafanyika umalaya wa ajabu.

Kuna sehemu wanapaita Msakuzi ni ndani ndani huko but yanayofanyika huko ni aibu.
Ile bar ya Lubumbashi kuzunguka maeneo yote karibu na shule ni balaa mnoo, Ukija Ubungo riverside kumechangamka mno

Yani hii dsm sehemu pekee ambayo sijaona malaya ni Goba tuu
 
Mleta mada ni mkazi wa huko, ana haki ya kulalamika akiona kero mtaani kwake
Ahame aende wapi?
Mtoa mada Leo nataka nije KUTEMBEA Mbagala naomba unitembeze kama observer reporter 😊

Observer reporter wa KUJITEGEMEA ili nione kwa uhalisia wake.
 
Wakuu kheri ya mwaka mpya.

Naam kwakweli kila maendele yamekuwa na changamoto leo hii Mbagala inakua kwa kasi sana kwa wafanyabiashara kuwekeza pesa zao kutoka na kuongezeka kwa watu na kushamiri kwa biashara.

Mabaa yamejengwa, Nyumba za wageni na za kupanga kupelekea sasa kuongezeka kwa biashara hii ya ukahaba.

Vijana wadogo wanafanya umalaya hadi kwenye makazi ya watu na kutuharibia watoto(wadogo zetu).

Mwanzo ilikuwa maeneo machache tu Pale Masakuu, Sokoni na njia ya Kiburugwa sasa biashara iko Round about ya Charambe kwenye night club maarufu kwa sasa Hotline, Zuen pub, shule ya msingi Rangi 3 uwanjani panapojengwa shule ya sekondari hadi vichochoroni na maeneo mengi kiufupi ukahaba umesambaa kwa kasi sana.

Wenye mamlaka kama wasipothibiti hii hali yumkini miaka michache ijayo mbagala itakuwa Tandika mpya na itapoteza mambo mengi na tayari itakuwa sio salama kuishi na familia zetu.


NB: Najua kuna wadau watakuja kushambulia ila katika jamiii iliyostaarabika ukahaba kufanyika mtaani ni hatari kwa kizazi chetu hasa kutokana na haya magonjwa.
Siku hizi kwa kifupi ni Dar nzima kila sehemu.
 
Back
Top Bottom