Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Allah aliwasahau wanawake...labda wao ndo watageuzwa Kuwa mabikraHivi na mwanamke mtenda mema naye anapewa nini? Mabikira 72 wa kiume au?
Allah aliwasahau wanawake...labda wao ndo watageuzwa Kuwa mabikraHivi na mwanamke mtenda mema naye anapewa nini? Mabikira 72 wa kiume au?
Mkuu wewe na mimi nani asielewa luga?.Au ungekuwa huyuView attachment 1923236
Ha ha haaaa ….may be …. So wao pepo Yao ni kwenda kuliwa/kutumikaAllah aliwasahau wanawake...labda wao ndo watageuzwa Kuwa mabikra
Sio kwa jina lake tu. Watu wanatibiwa hadi kwa kushikwa shikwa matiti. Ona mfano wa video hiyoNa ameahidi watu atawapa wakiua watu Kwa Jina lake?
Hapa tunaongelea watu kujiua Kwa ajili ya mabikra kama Hao Boko Haram ndio mjadala...wewe unaleta story Za watu kushikana matiti Kwa Jina la Brian deacon....Sio kwa jina lake tu. Watu wanatibiwa hadi kwa kushikwa shikwa matiti. Ona mfano wa video hiyo
View attachment 1923262
Unaweza kuonesha ushahidi wa hayo unayoyasema kwamba Boko Haram wanajiua kwa ajili ya mabikira? Una "reference" kama ninazokuwekea mimi.Hapa tunaongelea watu kujiua Kwa ajili ya mabikra kama Hao Boko Haram ndio mjadala...wewe unaleta story Za watu kushikana matiti Kwa Jina la Brian deacon....
inahusu Nini mjadala?
Brian Deacon. Hapa akiwa na roho mtakatifu ambaye ni njiwaView attachment 1923251
Reference Ni Quran Na hadith.Unaweza kuonesha ushahidi wa hayo unayoyasema kwamba Boko Haram wanajiua kwa ajili ya mabikira? Una "reference" kama ninazokuwekea mimi.
Kibwetere alitia hadi watu kibiriti kwa ajili watu wakamuone "Brian Deacon". Kuna Mwamposa mzee wa mafuta. Kuna Mzee wa uno anafufua watu kwa jina la "Brian Deacon.
Weka hiyo reference tuione.Reference Ni Quran Na hadith.
Hizo mambo zako Za Brian deacon zinahusiana Nini Na Huu mjadala wa Boko Haram?
Ameitwa na Taliban kuandaa mchakato wa kuunda serikali mpyaKismboy ana taarifa?
Ningekuwa allah ningewanyima bikra zangu 72
Wao walikuwa wanampigania Allah ndio maana wameshindwa. Mungu yeye hapiganiwi maanake atakalo litendeke linatendeka mara moja.
Boko Haram wanafata Uislam...niambie wapi waliukiuka uislam au wamefanya kipi ambacho muhamad hakuwahi fanyaUnaongea upumbavu kabisa mkuu,, chuki zako zitakutesa sana,,,kila cku waisilamu na uisilamu. Uisilamu unahusiana nini na hao boko wacofata mafundisho ya kiisilamu!!!! Kila kikundi lazima mukihusishe na uisilamu
Wao wenyewe ndio wanasema wanampigania Allah, wanatamka kwa vinywa vyao.Umejuwaje wanampigania Allah? Mbona hamusemi wako kimasilahi pale!!!! Wale wa msumbiji pia munasema ivyoivyo. Wewe na Citizen B kama co m2 mmoja ana2mia ID mbili namashaka.
Usomeni uislamu mupate kuujua.
Kama Hamza alitamka Kwa kinywa chake anampigania Allah ila Eti wanatuaminisha alitapeliwa madini ooh kisasiWao wenyewe ndio wanasema wanampigania Allah, wanatamka kwa vinywa vyao.
Wao wenyewe ndio wanasema wanampigania Allah, wanatamka kwa vinywa vyao.