Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,239
- 113,612
- Thread starter
- #41
Hata Usukumani ni hivyo hivyo, ila labda matamshi ndo yanaweza kupishana.Kule iringa wanaita sibitali
Hata Usukumani ni hivyo hivyo, ila labda matamshi ndo yanaweza kupishana.Kule iringa wanaita sibitali
Hospital ile ya juu pale mkono wa kulia km unaenda mwengeHivi Mkapa alilazwa hospitali gani?
Mishipa imetukomaa..kafa na nini kafa na nini? Tutakufa wote pambav zetukwani wanasema marehemu kafa na nini
Halafu then inawasaidia nini
ukikaa chini ukitafakari utagundua watanzania wengi tuna matatizo ya kiakili
Sie kwetu mtu mzima Hafi hivihivi Hadi Arogwe, tunasaka mchawiMishipa imetukomaa..kafa na nini kafa na nini? Tutakufa wote pambav zetu
Hhhhhhhkwani wanasema marehemu kafa na nini
Halafu then inawasaidia nini
ukikaa chini ukitafakari utagundua watanzania wengi tuna matatizo ya kiakili
Haya Mimi namshangaa huyo Nyani Dubu! Maelezo yaliyosemwa awali yaweza kuwa sawa vilevile kama ya Leo au hata ya kesho.Kwani kuna mashindano?
Haja kubwa ama haja ndogo?Ni moja ya lahaja za neno hospitali.
Haya basi hakuwa na korona aikuwa na fistula furahi basiiiWe mpumbavu kweli, Nani kakuambia Nkapa alikuwa na corona! Mfyuuu!7
Ha haaa nani amroge? Kwaajili ganiSie kwetu mtu mzima Hafi hivihivi Hadi Arogwe, tunasaka mchawi
Ha haaa nani amroge? Kwaajili gani
Nani kawakataza kuvaa mask?View attachment 1519430why why whyyyy putting our soldiers at risks without wearing masks. Why? This is not right at all totally unacceptable and fundamentally wrong!
Haya, leo mzizi wa uzushi umekatwa. Sababu ya kifo cha Rais mstaafu Mkapa imetajwa: ni mshituko wa moyo.
Licha ya hivyo, hicho sicho kilichompeleka hospitali.
Kilichompeleka hospitali ilikuwa ni kutojisikia kwake vizuri, ambapo baadaye ilikuja kugundulika kuwa ni malaria, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa leo.
Rais mstaafu Kikwete alienda kumsalimia hospitali. Hakuondoka hapo spitali akiwa na wasiwasi kuhusu uhai wake [Mkapa].
Mimi toka awali nilihisi kuwa yaweza kuwa ni ama shambulio la moyo, mshtuko wa moyo, au tatizo jingine lakini ambalo lihusishalo moyo. Maana katika vifo vya ghafla, mara nyingi ‘mkosaji’ huwa ni moyo.
Hivi ndivyo Kikwete alivyosema.
Pamoja na yote hayo, kwa sababu tupo kwenye zama za ujinga na upumbavu wa kidijitali, sitegemei taarifa zilizotolewa leo zizime uzushi dhidi ya marehemu.
The Monk
Haya, leo mzizi wa uzushi umekatwa. Sababu ya kifo cha Rais mstaafu Mkapa imetajwa: ni mshituko wa moyo.
Licha ya hivyo, hicho sicho kilichompeleka hospitali.
Kilichompeleka hospitali ilikuwa ni kutojisikia kwake vizuri, ambapo baadaye ilikuja kugundulika kuwa ni malaria, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa leo.
Rais mstaafu Kikwete alienda kumsalimia hospitali. Hakuondoka hapo spitali akiwa na wasiwasi kuhusu uhai wake [Mkapa].
Mimi toka awali nilihisi kuwa yaweza kuwa ni ama shambulio la moyo, mshtuko wa moyo, au tatizo jingine lakini ambalo lihusishalo moyo. Maana katika vifo vya ghafla, mara nyingi ‘mkosaji’ huwa ni moyo.
Hivi ndivyo Kikwete alivyosema.
Pamoja na yote hayo, kwa sababu tupo kwenye zama za ujinga na upumbavu wa kidijitali, sitegemei taarifa zilizotolewa leo zizime uzushi dhidi ya marehemu.
The Monk
KAFA KWA UGONJWA uitwao TAARIFA YA HABARI ni ugonjwa mbaya sana hasa katika kipindi hiki cha kuelekea UCHAGUZI MKUU.Mishipa imetukomaa..kafa na nini kafa na nini? Tutakufa wote pambav zetu
Wee huoni hapo tayari wameshaambukizwa korona? Mna roho mbaya nyieNani kawakataza kuvaa mask?