MADUDU YA USANGU LOGISTICS-WIZARA YA KAZI MPO WAPI
Utangulizi:
Ndg zangu,hii kampuni ni ya usafirishaji na makao ya ofisi ipo Tabata Matumbi.Wamiliki wa kampuni hii ni waburushi (Mwakabanga) ambao walianza wa tatu, kama madereva wakiwa wanaenda masafa marefu hadi kufikisha magari zaidi ya mia mbili leo hii.
Ila kwa masikitiko makubwa kabisa, waajiriwa wa kampuni hii wanapata mateso bila chuki kila kukicha. Wafanyakazi wa kampuni hii wananyanyaswa kwa kukatwa hela bila sababu za msingi kwenye mishahara yao inapokua inaingia, kufanya kazi bila mikataba, kupigwa, kucheleweshewa mishahara (mishahara kuingia tarehe isiojulikana),na pia wamiliki wa kampuni hii hutumia nafasi zao kutembea na wanawake waliowaajiri.
Hivyo basi, nikiwa naamini kuna sheria za kazi zinazomlinda mwajiri na mwajiriwa.
Naombeni vyombo husika kufatilia maswala hayo yaliosemwa hapo juu ili iwasaidie wafanyakazi waliopo katika kampuni hiyo.
Naombeni kuwakilisha.Mjumbe hauwawi!
Utangulizi:
Ndg zangu,hii kampuni ni ya usafirishaji na makao ya ofisi ipo Tabata Matumbi.Wamiliki wa kampuni hii ni waburushi (Mwakabanga) ambao walianza wa tatu, kama madereva wakiwa wanaenda masafa marefu hadi kufikisha magari zaidi ya mia mbili leo hii.
Ila kwa masikitiko makubwa kabisa, waajiriwa wa kampuni hii wanapata mateso bila chuki kila kukicha. Wafanyakazi wa kampuni hii wananyanyaswa kwa kukatwa hela bila sababu za msingi kwenye mishahara yao inapokua inaingia, kufanya kazi bila mikataba, kupigwa, kucheleweshewa mishahara (mishahara kuingia tarehe isiojulikana),na pia wamiliki wa kampuni hii hutumia nafasi zao kutembea na wanawake waliowaajiri.
Hivyo basi, nikiwa naamini kuna sheria za kazi zinazomlinda mwajiri na mwajiriwa.
Naombeni vyombo husika kufatilia maswala hayo yaliosemwa hapo juu ili iwasaidie wafanyakazi waliopo katika kampuni hiyo.
Naombeni kuwakilisha.Mjumbe hauwawi!