MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
- Mawaziri/Naibu/Makatibu wakuu wa wanauza majumba na viwanja kwa faida zao.
- Wanaajiri waoto wao wenye elimu ya F.IV na kulipwa mishahara ya Degree
- Familia ya Karume yajichukulia majumba na ardhi.
- Kisiwa kidogo kinauzwa kwa mwekezaji bila kujali usalama wa nchi
- Ofisi ya Rais yatumiwa kama kivuli cha kuficha ufisadi
Na mengine mengi. Ikiwa hutaona uvivu soma document iliyoambatanishwa.
View attachment Ripoti ya Kamati Teule ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.doc
- Wanaajiri waoto wao wenye elimu ya F.IV na kulipwa mishahara ya Degree
- Familia ya Karume yajichukulia majumba na ardhi.
- Kisiwa kidogo kinauzwa kwa mwekezaji bila kujali usalama wa nchi
- Ofisi ya Rais yatumiwa kama kivuli cha kuficha ufisadi
Na mengine mengi. Ikiwa hutaona uvivu soma document iliyoambatanishwa.
View attachment Ripoti ya Kamati Teule ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar.doc