Pu..mbu zako,huna haya unaandika ushuzi,jeshi siyo mgambo wewe fi.si,big up mwema!
Hakuna sababu ya kutukana mkuu, tujadili hoja au la unapita kama msomaji, iga mfano wa Bishoke post na.11
mkuu ushajua kama huyu anachukua nafasi?.IGP Thobias Andengenye akiingia tu ofisini atawaondoa wote waliobebwa na huyo mpare
Pu..mbu zako,huna haya unaandika ushuzi,jeshi siyo mgambo wewe fi.si,big up mwema!
Vivaaaa ZELOTHE vivaaa STEVEN.........., Watu kama akina TOSSI nao wanaungana na zello4he
watu wa Majungu, hata cheo cha boss wako unashindwa kukitaja inavyotakiwa
Ni jembe?...kubali usikubali Zelothe ni jembe. Namkumbuka sana akiwa Mwanza watu wa Mwanza walipata usingizi kuliko vipindi vya ma RPC wengine. Zelothe alikuwa anakwenda patrol mwenyewe usiku, nisijue utendaji wake kwa sasa huko Mtwara bado kwangu namwona bado anaweza kutoa mchango wake kwa taifa lake kwa fani yake ya uaskari.
Asante kwa kutoa lako la moyoni. Kumpa mkataba wa kazi Zelothe kwangu naona kafanya sawa na inamwongezea credit IGP; kubali usikubali Zelothe ni jembe. Namkumbuka sana akiwa Mwanza watu wa Mwanza walipata usingizi kuliko vipindi vya ma RPC wengine. Zelothe alikuwa anakwenda patrol mwenyewe usiku, nisijue utendaji wake kwa sasa huko Mtwara bado kwangu namwona bado anaweza kutoa mchango wake kwa taifa lake kwa fani yake ya uaskari. Huyo mwanamke mwingine wa Dafur no comment.
Ni jembe?
Tukipata viongozi wazuri tuwa-keep ofisini mpaka wafe, sivyo?
Wengi tutakubaliana kwamba Nyerere alikuwa ni jembe. Kwa hiyo Nyerere nae asingestaafu mpaka afe Ikulu!
Hayo ndio mawazo yako unayotaka kutuambia hapa, sivyyo?
Kumbe Kamanda Saimon Siro hakufanya kazi yoyote.Asante kwa kutoa lako la moyoni. Kumpa mkataba wa kazi Zelothe kwangu naona kafanya sawa na inamwongezea credit IGP; kubali usikubali Zelothe ni jembe. Namkumbuka sana akiwa Mwanza watu wa Mwanza walipata usingizi kuliko vipindi vya ma RPC wengine. Zelothe alikuwa anakwenda patrol mwenyewe usiku, nisijue utendaji wake kwa sasa huko Mtwara bado kwangu namwona bado anaweza kutoa mchango wake kwa taifa lake kwa fani yake ya uaskari. Huyo mwanamke mwingine wa Dafur no comment.
Umbea,au ulikuwa unaitaka nafasi hii?!
Anayeongeza mkataba wa makamishna si IJP, ni Ikulu. Askari wa chini ndo huruhusiwa na katibu wa wizara, ambaye anapokea mapendekezo toka kwa IJP. Kwa taarifa nilizonazo, naye alitakiwa àstaafu july, J.K aligoma anataka wastaafu pamoja ingawa yeye alitaka àpumzike matusi n shutuma. Nasikia by dec anasepa
Inspekta Jenerali wa PolisiNisaidie mkuu, IJP ni nini?
Hivi ni kwanini watumishi wa ngazi za juu wa nchi hii hawataki kustaafu kwa mujibu wa sheria ? Wanaogopa nini ? Walimkosea nani , mbona hawajiamini ?