Katika mwendelezo wa ukabila, uswahiba Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Said Ally Mwema amemkumbatia na kuendelea kumwacha katika utumishi Kamishna Msaidizi wa Polisi - ACP Grace Ngassa ambaye kimsingi alistaafu kazi tangu Julai 2012.
Acp Grace Ngassa kwa sasa analiwakilishi Jeshi la Polisi Tanzania katika ulinzi wa amani jimbo la Darfur nchini Sudan, uwakilishi ambao kigezo cha kwanza ni lazima uwe askari polisi uliye katika utumishi. ACP Ngassa ambaye kashalipwa mafao yake ya kustaafu baada ya Katibu mkuu kutoa kibali chake cha kustaafu anatajwa kubebwa na IGP kwa sababu ya kabila lake kuwa moja na Mwema.
Mwema pia kwa misingi ya uswahiba amekuwa akimbeba kamishna msaidizi mwandamizi SACP Zelothe Stephen ambaye yuko katika mkataba kwa mara ya tatu na sasa amempa madaraka ya u-RPC Mtwara.
Mbona majina ya akina Ngasa najua ni ya Wasukuma, ina maana siku hizi IGP Mwema nae ni msukumaKatika mwendelezo wa ukabila, uswahiba Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Said Ally Mwema amemkumbatia na kuendelea kumwacha katika utumishi Kamishna Msaidizi wa Polisi - ACP Grace Ngassa ambaye kimsingi alistaafu kazi tangu Julai 2012.
Acp Grace Ngassa kwa sasa analiwakilishi Jeshi la Polisi Tanzania katika ulinzi wa amani jimbo la Darfur nchini Sudan, uwakilishi ambao kigezo cha kwanza ni lazima uwe askari polisi uliye katika utumishi. ACP Ngassa ambaye kashalipwa mafao yake ya kustaafu baada ya Katibu mkuu kutoa kibali chake cha kustaafu anatajwa kubebwa na IGP kwa sababu ya kabila lake kuwa moja na Mwema.
Mwema pia kwa misingi ya uswahiba amekuwa akimbeba kamishna msaidizi mwandamizi SACP Zelothe Stephen ambaye yuko katika mkataba kwa mara ya tatu na sasa amempa madaraka ya u-RPC Mtwara.
Hata mie imekuwa ikkinishangaza sana hali hii, watu wanapaswa kujiandaa kiasaikolojia na kuelewa kuna maisha hata baada ya kustaafu, wapo wanaodiriki hata kupunguza umri wao wa kuzaliwa
Hivi Zelothe Steven naye kawa mchagga siku hizi ?.
Mbona majina ya akina Ngasa najua ni ya Wasukuma, ina maana siku hizi IGP Mwema nae ni msukuma
Usikonde mkuu,si unajua tena huwezi kumfurahisha kila mtu..nikirudi kwenye post,upendeleo haukuanza jana.tushaathiriwa na mfumo,cha msingi ni kuchukua hatua 2015 ili tuheshimiane.
Ni jembe?
Tukipata viongozi wazuri tuwa-keep ofisini mpaka wafe, sivyo?
Wengi tutakubaliana kwamba Nyerere alikuwa ni jembe. Kwa hiyo Nyerere nae asingestaafu mpaka afe Ikulu!
Hayo ndio mawazo yako unayotaka kutuambia hapa, sivyyo?
Kwa hiyooo..hii katiba ya nchi hii watu wanaiona kama karatasi au? katiba iliyokuweka madarakani hiyohiyo ndiyo inapashwa itaje muda wako wa kumaliza kazi..kwahiyo kwa kuwa ana nguvu mkali barabarani so ndio akae milele..hawa wachangiaji wa hii post wala siwaelewi au ndio haohao..oooii kwahiyo mtajuaje kwamba kuna watu wanweza zaidi ya hao kama hawapewi nafasi? My take is..ingawa inaonekana nchi hii haina katiba kwa sasa, na kwa kuelewa kwamba migogoro mingi inayoendele humu duniani imesababishwa na uvunjwaji wa katiba..bila kujali nani ana mamlaka ya kumuongezea nani muda wa kuwa kazini, viongozi wetu wanapashwa tu kuwa makini sana kwa hilo, na wafahamu kwamba vijana wanawatazama mambo wanayoyafanya na sio kwamba hawayaoni hayo.
Ofisi ya fire ama ?IGP Thobias Andengenye akiingia tu ofisini atawaondoa wote waliobebwa na huyo mpare