Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Katika mwendelezo wa ukabila, uswahiba Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Said Ally Mwema amemkumbatia na kuendelea kumwacha katika utumishi Kamishna Msaidizi wa Polisi - ACP Grace Ngassa ambaye kimsingi alistaafu kazi tangu Julai 2012.
Acp Grace Ngassa kwa sasa analiwakilishi Jeshi la Polisi Tanzania katika ulinzi wa amani jimbo la Darfur nchini Sudan, uwakilishi ambao kigezo cha kwanza ni lazima uwe askari polisi uliye katika utumishi. ACP Ngassa ambaye kashalipwa mafao yake ya kustaafu baada ya Katibu mkuu kutoa kibali chake cha kustaafu anatajwa kubebwa na IGP kwa sababu ya kabila lake kuwa moja na Mwema.
Mwema pia kwa misingi ya uswahiba amekuwa akimbeba kamishna msaidizi mwandamizi SACP Zelothe Stephen ambaye yuko katika mkataba kwa mara ya tatu na sasa amempa madaraka ya u-RPC Mtwara.
Acp Grace Ngassa kwa sasa analiwakilishi Jeshi la Polisi Tanzania katika ulinzi wa amani jimbo la Darfur nchini Sudan, uwakilishi ambao kigezo cha kwanza ni lazima uwe askari polisi uliye katika utumishi. ACP Ngassa ambaye kashalipwa mafao yake ya kustaafu baada ya Katibu mkuu kutoa kibali chake cha kustaafu anatajwa kubebwa na IGP kwa sababu ya kabila lake kuwa moja na Mwema.
Mwema pia kwa misingi ya uswahiba amekuwa akimbeba kamishna msaidizi mwandamizi SACP Zelothe Stephen ambaye yuko katika mkataba kwa mara ya tatu na sasa amempa madaraka ya u-RPC Mtwara.