Madokta walikataa kunywa Juice

Mungu anawapenda hamuwezi jua ..lakini nafikiri kwenda ikulu au ugenini sio lazima unywe juice.
 
Unamsifia kuingia ikulu ya wengine wakati ameshindwa kuongoza nchi inaenda kombo? Wewe kweli kichwa cha panzi asiyejua mbele wala nyuma
Madrs wanajua ndio maana walikataa juisi za kifisadi isije kuwa ya Mwakyembe kwao


Kweli mambo ya kla kla yamewatia wengi ulemavu. Juice tu inaweza kukuchubua ngozi mwili mzima wakati nyumbani umeacha mijuisi kibao kwenye mafriji.
 
Huyu mkubwa haaminiki kabisa! wenye akili wanajua, akikuchekea moyoni kakushikia smg! wataalam wana upeo.
Mwakei alipopewa kau naib wazir... akaujua yameisha ya kusema serikali nzima ingezama........waapi! ona sasa!
 
teh teh teh,kwi kwi kwi, kazi kweli kweli sasa issue imekuwa juice.waulizeni hao madaktari vipi kuhusu kutoendelea na mazungumzo yoyote mpaka waziri dr Mponda na naibu wake dr Nkya wajiuzuru,kama ulivyo msimamo wao wa awali?.nini kimetokea mbona hawasemi lolote zaidi ya hasira juu ya mawaziri hao.Naona wengi humu ni kama wale waliokuwa washabiki wa babu wa loliondo,na hii post bila shaka imeanzishwa na hao madaktari na wengi wa wachangiaji watakuwa wao.Ni kama ujanja wa kusahaulisha swali la msingi kuhusu madai ya mgomo wao wa pili kwamba hawatafanya mazungumzo yoyote mpaka mawaziri hao wajiuzuru kwanza.
 
teh teh teh,kwi kwi kwi, kazi kweli kweli sasa issue imekuwa juice.waulizeni hao madaktari vipi kuhusu kutoendelea na mazungumzo yoyote mpaka waziri dr Mponda na naibu wake dr Nkya wajiuzuru,kama ulivyo msimamo wao wa awali?.nini kimetokea mbona hawasemi lolote zaidi ya hasira juu ya mawaziri hao.Naona wengi humu ni kama wale waliokuwa washabiki wa babu wa loliondo,na hii post bila shaka imeanzishwa na hao madaktari na wengi wa wachangiaji watakuwa wao.Ni kama ujanja wa kusahaulisha swali la msingi kuhusu madai ya mgomo wao wa pili kwamba hawatafanya mazungumzo yoyote mpaka mawaziri hao wajiuzuru kwanza.
...ungemwazima ata mdogo wako akili kidogo ikusadie kufaham kuwa mazunguzo ya madaktari na serikali yameisha-vuka ngazi ya mawaziri,na ata huyo waziri mkuu akutia pua yake ktk hayo maongezi ya juzi...
 
Kama ni hivyo basi next time wawe makini hata na makochi maana yanaweza kuwa zaidi ya juice
 
Haki ya Mungu nawaombeni ndugu zangu mrudi kazini ili kuniokoa mimi na si mwingine. Nawatafutia dawa yao hawa jamaa kuanzia genge leader wao. Nikifanya sasa itashusha heshima nzima ya silikari yangu. Please guyz. We are brothers. Nawaomba saana tena saana. Inaweza kuwa ilikuwa hivyo jamani. Ma dkts nao ni wanadamu na wanahuruma kama watu wengine.
 
Kumuhusisha Mwakyembe na Juice ya magogoni sidhani kama ni sahihi,maana kama ishu yake mkubwa amehusika asingekuwa naibu waziri mpaka sasa katika hali yake ile ya ugonjwa,the same to Mwandosya.Kwa hili mkulu mnamsingizia wadau.Mimi sioni kama juice ya magogoni na kashata zile zina madhara!Mbona makamanda walizipiga lakini fresh tu mpaka leo?

Halafu msiwasifu sana hao madaktari wakati wengine hapo imeshakuwa gumzo kuingia ikulu,tena mmoja kapost picha fb akipeana mkono na mkulu!!Hamna lolote na juice wamekunywa sana tu sema mkutano wao ulikuwa ni closed-meeting ndiyo maana picha zipo chache!!Hebu jiaminini nyie nani awawekee sumu kwenye vinywaji,kwa titlle gani mliyonayo na chuki gani ya mkulu juu yenu??
 
Mambo ya Polinium 210 unadhani Madaktari hawayajui! Fuatilia academic records za Madaktari uone. Hawa ni vipanga kwenda mbele!

Mkubwa hii ilikuwa zamani,siku hizi hadi vyuo vya kata vinatoa madaktari!!Tena nadhani wengi wao ndiyo wanaotusumbua na migomo!!Wale wazalendo na vipanga wa Muhimbili Univ wameshakuwa out-numbered siku hizi ndiyo maana wanapelekeshwa sana na kata-product doctors!!
 
Aliye nyonyoka nywele na kucha bado hazijaota,mnataka kuongeza na wengine??? imeniuma sana...HAWAKUNYWA NA WASIJARIBU.
 
Nawashukuru sana wachangiaji hapa JF. Hili la madokta linawahusu wote tanzania, bila kujali itikadi ya chama au dini

Mimi sio Dokta. Nimepata uchungu sana jinsi sekta ya afya ilivyodorora hapa Tanzania. Pili Kumbuka kwamba Tanzania ina madokta wachache sana duniani. Sasa kuna motisha gani ili wanafunzi wasome PCB?

Kama wanafunzi wenyewe wako secondari wanaona madokta wanafanya kazi katika mazingira duni, vifaa hospitalini hakuna, mishahara duni, madokta hawana nyumba, Je wanafunzi watapenda sayansi?? Wanafunzi si wataona hamna haja ya kuumiza kichwa.

Wanafunzi watachepuka kwenye EGM, PGM, COmmerce na HGL ili waje kulipwa unono. na Hivyo Tanzania itazidi kukosa madokta na huduma za afya zitazidi kudorora.

Vile vile bila afya bora mtu atafanya kazi? je kama unaumwa utafanya kazi. Kama watu wanaumwa na hawapati huduma bora za afya watafanya kazi. Uchumi utazidi kudorora.

Nawapongeza Madokta kwa ujasiri na kutumia akili zao Mungu alizo wajalia. Madokta sio kama waalimu. Waalimu ni wanafiki, wanafanya mgomo baridi halafu wanafunzi wanafeli sana.

Waalimu amkeni, daini vifaa vya maabara katika secondari zote, daini mabweni ili wanafunzi watulie wasome. Daini nyumba za waalimu. Walimu daini mishahara.

Angalia mashirika mengine ya Umma yasio na umuhimu kuliko Afya na elimu wanavyotafuna kodi na rasilimali za nchi.

TANAPA, TRA, Bandari, Matraffic, TISS, JWTZ (maafisa), NSSF, PPF, SUMATRA, EWURA.
 
mgomo wao wa pili walisema watarudi kazini na vile vile kuendelea na mazungumzo na serikali mpaka waziri na naibu wake wa wizara ya afya waondolewe,vinginevyo wataendelea na mgomo usio na kikomo.Wameonana na Rais na wamekubali kusitisha mgomo,na katika taarifa yao kwa vyombo vya habari hawakuonesha kama walizungumzia suala la mawaziri hao.Somo taarifa yao kwa vyombo vya habari.jiulize walikwenda ikulu kwa madai mengine au lile kusudio la mgomo la mawaziri waondolewe? au kuingia ikulu na kumuona rais live? au kunywa juice na sambusa?Mnadanganyana hawakunywa juice,tatizo watoto wa shule wengi JF siku hizi.Waulizeni kama walijaadili suala la mawaziri mbele ya rais...acha kuropoka kama hujui kaa kimya kwani lazima na wewe u post
...ungemwazima ata mdogo wako akili kidogo ikusadie kufaham kuwa mazunguzo ya madaktari na serikali yameisha-vuka ngazi ya mawaziri,na ata huyo waziri mkuu akutia pua yake ktk hayo maongezi ya juzi...
 
Back
Top Bottom