Wapi alipo kamanda Muliro

Wapi alipo kamanda Muliro

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1,683
Reaction score
3,933
Amepotelea wapi huyu?

Nasikia vijana wa Dar mlikuwa na jambo lenu pale nyumbani kwake. Je ni kweli?

Niwapongeze kwa kwenda msalimia na kunywa chai nyumbani kwake.
images.jpg


Alafu nasikia anakaribia kustaafu huyu. Kama yule hai, tutamalizana naye mtaani baada ya kustaafu kwake.
 
Back
Top Bottom