ndugu watanzania na wazalendo.
Mnamo tarehe 1/5/2015 katika sherehe za mei mosi rais kikwete alitangaza kuruhusu kugawa mkowa wa mbeya. King'anganyiro hiki kimeanza hukuwa wanyakyusa wakidai mkoa mpya uitwe rungwe na makao makuu yawe tukuyu.
Huku wana mbozi wakidai mkoa mpya uitwe songwe na makao yake makuu yawe mbozi (vwawa).
Mi nadhani wakati umefika sasa kwa wana mbeya kuangalia sababu za msingi na kuancha ukabila na ubwanyenye wa kiu chumi uliojaa ukiritimba.
Moja wapo ya sababu ni hizi:
1. kusogeza huduma kwa wananchi
2. Uchumi wa eneo husika
3.jiografia ya maeneo yanayotarajiwa kuunda mkoa mpya
4. Asili na kasumba ya watu wa maenwotweo tarajali
na sababu nyingine kedekede ambazo nazitaraji kutoka kwenu wadau mnaoufahamu mko wa mbeya.
Karibuni wote
Hoja yako ni dhaifu kama jina lako! Nani kakudanganya kuwa wilaya za mkoa wa Mbeya zinaitegemea Rungwe kiuchumi! Kuendelea kugawa mikoa ni kuongeza gharama za utawala badala ya maendeleo na hivyo kuwa mzigo kwa walipa kodi!Hofu yangu ni moja tu, mkoa ambao utaitwa Rungwe na wilaya zake 4 ndio eneo la kitegauchumi cha mkoa wa Mbeya kwa sasa hali ambayo itauacha mkoa wa mbeya mpya utafute njia zaidi za kiuchumi ili kubaki juu katika uzalishaji nchini.
Mkuu naungana na wewe kwa ulichosema.WAZO LA KUUGAWA MKOA WA MBEYA NI LA MSINGI NI MKOA MKUBWA SANA.
Naunga mkono wale wanaosema mkoa wa Mbeya ubaki kuwa na makao makuu mbeya mjini kama ilivyokuwa zamani ukiwa na wilaya za Mbozi, Zomba, Chunya na mbeya mjini. Mbeya mjini imekaa katikati ya wilaya hizo kwa kufikaki kirahi ikiwemo miundombinu yake iko tayari kupokea mabadiliko na huduma mpya za mkoa mpya.
Halikadhalika, RUNGWE ina sifa hizo hizo ikiwemo mlima maarufu wa Rungwe ambapo utatangazwa kitaifa na kimataifa. Aidha, Rungwe ndio Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji katika mkoa wa mbeya hasa kwa mazao ya kilimo. Rungwe ni moja ya majina ya kale ya mkoa wa mbeya tangu enzi la ukoloni kutokana na jina hilo kuakisi mlima Rungwe. Tangu enzi la mkoloni Tukuyu kwa jina hilohilo ndio ilikuwa makao makuu ya Rungwe enzi hizo na ndio sababu Tukuyu ikapata maendeleo haraka baada ya mbeya mjini.
Naunga mkono wale wanaosema mkoa mpya uitwe Rungwe na makao yake makuu yawe Tukuyu. Mkoa wa Rungwe uwe na wilaya za Rungwe, Kyela, Ireje na
Mkoa wa mbeya ndio mkoa mkubwa kuliko yote nchini kwa sasa ndio maana hata Iringa umegawanya na Arusha. kwa wale wanaoifahamu mikoa hiyo naamini wataniunga mkono tofauti na ambao hawajui vizuri jiografia ya mbeya na mikoa mingine ilivyogawanywa.
Hoja yako ni dhaifu kama jina lako! Nani kakudanganya kuwa wilaya za mkoa wa Mbeya zinaitegemea Rungwe kiuchumi! Kuendelea kugawa mikoa ni kuongeza gharama za utawala badala ya maendeleo na hivyo kuwa mzigo kwa walipa kodi!
Hapo penye redi ni wapi?WAZO LA KUUGAWA MKOA WA MBEYA NI LA MSINGI NI MKOA MKUBWA SANA.
Naunga mkono wale wanaosema mkoa wa Mbeya ubaki kuwa na makao makuu mbeya mjini kama ilivyokuwa zamani ukiwa na wilaya za Mbalali, Momba, Chunya na mbeya mjini. Mbeya mjini imekaa katikati ya wilaya hizo kwa kufikaki kirahi ikiwemo miundombinu yake iko tayari kupokea mabadiliko na huduma mpya za mkoa mpya.
Halikadhalika, RUNGWE ina sifa hizo hizo ikiwemo mlima maarufu wa Rungwe ambapo utatangazwa kitaifa na kimataifa. Aidha, Rungwe ndio Wilaya inayoongoza kwa uzalishaji katika mkoa wa mbeya hasa kwa mazao ya kilimo. Rungwe ni moja ya majina ya kale ya mkoa wa mbeya tangu enzi la ukoloni kutokana na jina hilo kuakisi mlima Rungwe. Tangu enzi la mkoloni Tukuyu kwa jina hilohilo ndio ilikuwa makao makuu ya Rungwe enzi hizo na ndio sababu Tukuyu ikapata maendeleo haraka baada ya mbeya mjini.
Naunga mkono wale wanaosema mkoa mpya uitwe Rungwe na makao yake makuu yawe Tukuyu. Mkoa wa Rungwe uwe na wilaya za Rungwe, Kyela, Ireje na Mbozi
Mkoa wa mbeya ndio mkoa mkubwa kuliko yote nchini kwa sasa ndio maana hata Iringa umegawanya na Arusha. kwa wale wanaoifahamu mikoa hiyo naamini wataniunga mkono tofauti na ambao hawajui vizuri jiografia ya mbeya na mikoa mingine ilivyogawanywa.
Mama Porojo kwenu Rungwe nini?Maana nijuacho ni kuwa mkoa sawa utagawanywa ila MMOJA UTAITWA MBEYA NA MWINGINE KIWIRA kwa mujibu wa vikao vya hapa na pale mkoani sasa ilo la mkoa kuitwa Rungwe na nakusikia wewe.
Usikute ndo umeamua kulipigia chapua na wanaotoka Kyela watakuja sema mkoa uitwe Kyela utawaelewa kweli?
Dhana ya kuugawa mkoa personally ninaiafiki in the sense kwamba huduma zinasogezwa karibu na jamii such that ata management yake inakuwa rahisi.
Pia mkumbuke miaka ya 1980 mkoa wa Rukwa ulimegwa toka Mbeya so ni utaratibu ambao huiva with time.
TAARIFA ZIFUATAZO ZITATUSAIDIA KULICHAMBUA HILI
Southern Highlands Province then In 1963, the Southern Highlands Province was split into two regions ie Mbeya and Iringa.
1974 Sumbawanga District was separated from Mbeya and accorded full Regional status. Bila kuwa na iyo migawanyo kwa sasa tusingekuwa na mkoa wa mbeya wala rukwa wala iringa maana yote iliitwa Southern Higland Province
Mbeya Regional area covers 63,420 Sq.kms. which is 6.4% of the
Total area of the United Republic of Tanzania.
Rwanda: total: 26,338 sq km & Burundi total: 27,830 sq km kwa ujumla wao hawaufikii mkoa wa Mbeya kila inchi apoinaingia Mbeya kama mara 3
Mkoa wa mbeya ndio mkoa mkubwa kuliko yote nchini kwa sasa .....