Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,989
- 5,066
Hakuna kuwa na mkoa kama Pwani ndani ya Dar. Hakuna kiungo cha Rungwe na Mbozi kupitia Ileje lazma utokee Mbeya. Labda makao makuu yawe katka Wilaya ya Ileje na kuchukua baadhi kata za Mbeya Vijijini
huuu ni ujinga ambao ccm wanaufikiria. aafu kwenda huko momba ni lazima upite mbozi, pumbavu sana. si wangependekeza uyole iunganishwe na isyonji, igoma iwe wilaya moja? aafu waongeze na kyela, mbarali, tukuyu na ileje?