Hatimaye madiwani waliotimuliwa na Chadema Arusha wameandika barua kwa Mbowe na Dr Slaa kuomba radhi wasamehewe.
Mimi napendekeza wasamehewe kwa sharti la kuondoa kesi mahakamani na pia waukane muafaka bandia. Inavyoelekea kesi itakaa hadi 2015 na wananchi wa Arusha watakosa maendeleo hasa ukizingatia hakuna mbunge.
Source. Mwananchi
Mmmhhh hili ungamo mbona sina imani nalo!
Ukifuatilia mtiririko wa matukio utajiuliza.... KWANINI MSAMAHA SASAHIVI??
Wawekwe kwenye kipindi cha mpito kuwaangalia, haihitaji haraka na hawa watu tunawamudu sana!
na mnaturudisha nyuma!!....swala la madiwani lilishafungwa wao waliidharau kamati kuu ya Chadema, by the way vyama vya siasa vipo 18 ni kwa nini wasiende kwenye vyama vingine!! why Chadema?.....
na mnaturudisha nyuma!!....swala la madiwani lilishafungwa wao waliidharau kamati kuu ya Chadema, by the way vyama vya siasa vipo 18 ni kwa nini wasiende kwenye vyama vingine!! why Chadema?.....