Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Mimi nadhani wasamehewe na wawarudisha katika udiwani kuepuka gharama nyingine za uchaguzi endapo sheria ina ruhusu. Kama sheria itataka uchaguzi urudiwe basi kuna haja ya kukaa chini na kutafakari upya kwa wao kuwa wagombea tena. Busara itumike zaidi.
Kweli wewe mbuzi! na post zako 14 umetumwa hapa kushauri huu upuuzi wenu! ha ha ha! unatoka maji yanukayo wewe both sides!