Inawezekana mawazo yako ni sawa, lakini kumbuka kule Meru kata 17 zote madiwani ni CCM mbona walishindwa kuisaidia ikashinda uchaguzi? Hakuna wa kuzuia nguvu ya umma bwana. Kama ni kuwasamehe wanaweza kusamehewa lakini udiwani sijui sheria imekaaje, maana bado kesi iko mahakamani. Wanaojua sheria zetu watujuze
Pamoja na hayo yote mheshimiwa...nasikia kichefuchefu kwa hawa jamaa..kikubwa wangetakiwa kujiunga na mbunge kutetea maslahi ya wananchi wa Arusha. Mbona wanaomba msamaha wakati mbunge hayupo? Tujue kwamba hata kesi ya mbunge wao wamechangia kufanya maamuzi yawe kama yalivyokuwa....mm siafiki msamaha kwao...waende chama kingine chochote kwani walipewa nafasi na kuombwa na wazee wakawa kichwa ngumu...wanahudhuria vikao vya halmashauri na posho wanakula...Hii busara ya kuomba msamaha wameipata wapi wakati huu?..CDM kuweni macho this people are virus which will destroy the part if allowed to come in...wametukosea wanachadema na si viongozi peke yao...