Pameanza kuchimbika Radio one wamesema hadi viongozi wa mitaa na mabalozi wa nyumba kumi wamehamia Chadema!
LizaBON kalazwa kapatwa stroke kali sana ana hofu ya kupoteza ukuu wa Wilaya.Kama hajajibu basi ujue hili gemu tough kwake
tingatinga kama hayupo vilee....kiiimyaaa!!
LizaBON kalazwa kapatwa stroke kali sana ana hofu ya kupoteza ukuu wa Wilaya.
Lukajako nkamu.