johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,996
Hayo ndio mapito waliyopitia Chadema awamu iliyopita
Tulishuhudia Kikundi cha wabunge na Madiwani waliounga mkono Juhudi, tulishuhudia akina Sugu walifungiwa Jela lakini zaidi tulishuhudia Halmashauri zilizoongozwa na Chadema kama Ilala, Kinondoni, Ubungo, Jiji la DSM nk zikiporwa na chama Tawala kwa hila
Tunamshukuru Mungu wa Mbinguni Siasa za kipuuzi na michongo sasa hazipo tena
Mungu wa Mbinguni Ibariki Tanzania
Tulishuhudia Kikundi cha wabunge na Madiwani waliounga mkono Juhudi, tulishuhudia akina Sugu walifungiwa Jela lakini zaidi tulishuhudia Halmashauri zilizoongozwa na Chadema kama Ilala, Kinondoni, Ubungo, Jiji la DSM nk zikiporwa na chama Tawala kwa hila
Tunamshukuru Mungu wa Mbinguni Siasa za kipuuzi na michongo sasa hazipo tena
Mungu wa Mbinguni Ibariki Tanzania