johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,972
- 141,982
Kwanza ikumbukwe kuwa mbunge ni Diwani na ni Mjumbe wa Kamati ya Fedha ya Halmashauri
Jana Wabunge wamewatupia lawama Wakurugenzi wa Halmashauri Kwamba hawana Ubunifu wa kubuni vyanzo vya Mapato ndio sababu Halmashauri nyingi zimedorora na zinasuasua
Ndio najiuliza kwani Kazi ya Madiwani ni nini?
Mbona 2015 baada ya Chadema kupata Halmashauri kadhaa Madiwani wake walikuwa wanabuni vyanzo vya Mapato na Miradi na kuvisimamia?
Au Madiwani wa CCM siyo Wasomi ndio sababu mnataka kujifichia kwa Mkurugenzi?
Na wewe mbunge wa CCM mfano Dr Gwajima PhD pale Kinondoni umebuni nini zaidi ya mashindano ya mchezo wa REDE?
Nawatakia Dominica Njema 😄🔥
Jana Wabunge wamewatupia lawama Wakurugenzi wa Halmashauri Kwamba hawana Ubunifu wa kubuni vyanzo vya Mapato ndio sababu Halmashauri nyingi zimedorora na zinasuasua
Ndio najiuliza kwani Kazi ya Madiwani ni nini?
Mbona 2015 baada ya Chadema kupata Halmashauri kadhaa Madiwani wake walikuwa wanabuni vyanzo vya Mapato na Miradi na kuvisimamia?
Au Madiwani wa CCM siyo Wasomi ndio sababu mnataka kujifichia kwa Mkurugenzi?
Na wewe mbunge wa CCM mfano Dr Gwajima PhD pale Kinondoni umebuni nini zaidi ya mashindano ya mchezo wa REDE?
Nawatakia Dominica Njema 😄🔥