Madiwani CHADEMA Rombo wakimbiza mwenge

Madiwani CHADEMA Rombo wakimbiza mwenge

Yaani ni kama huamini vile, lakini ndio hivyo sasa.

Naamini wanachadema wameshiriki shuhuli za mwenge ila siamini kama Dr.Bashiru kama atabaki salama kwa kuvujisha siri kuwa CCM mnashinda kwa wizi wa kura hadi raiya hawakanyagi tena kwenye vituo vya kupigia kura.
 
Kilimanjaro watu kuijua kwa nguvu ndani Na nje ni kwa sababu ya mwenge.Mlima Kilimanjaro ulitangazwa sana pale wakati wa Uhuru Meja Nyirenda alipopandisha kileleni mlima Kilimanjaro Na kutangazwa TV Na radio Dunia nzima hivyo kuvutia Utalii.inakuwa ajabu mtu wa Kilimanjaro kuususa huku akijivunia Utalii!!!!! Wakati ulihusika kuleta watalii anaojivunia
 
Hivi mmwenge una kitu gani cha maana hadi wanatu wanaulinda na binduki? au ni serikali wamekuwa ni waoga sana siku hizi kwa watu wanoawatawala? naona hata msafara wa jiwe binduki ni balaa
Watu msiwe na mawazo tofauti...
Bunduki kwa askar ni sawa na mwanafunzi kuwa na daftar na pen..
Kile ni kitendea kazi chake hivyo lazma awe nacho popote awapo
 
yes warombo wana akili ndiyo maana wanaunga mkono huo mwenge wakiwa ndani ya chadema.

Roho imekuuma kuwaona kwenye mkesha wa mwenge??
Mwenge ni biashara nzuri kwa wafanyabiashara sababu mwenge huwa Na watu wengi wanakula Na kulala Na kunywa .Ukitembelea eneo kama la Rombo ambako ndiko wafanyabiashara wengi Na wakubwa hutoka ukaona wanasusa mwenge wakati wana biashara za vyakula ,vinywaji ,malazi Na Mabasi Na bodaboda basi ujue Rombo imebadilika.Hao madiwani wanajielewa kuwa mwenge ukipita maeneo yao watapata nafasi hata ya kueleza kero kwa Raisi kupitia kiongozi wa mbio za mwenge bahati ambayo nadra kuipata kwa mtu level ya diwani.Na wanajua watu wao watafaidi wafanyabiashara wakiwemo wa vituo vya mafuta kwa kujaza mafuta ya mwenge Na magari , bodaboda nk ya misafara ya mwenge.Hivyo kuongeza Mzunguko wa pesa Rombo sababu mfano dereva bodaboda Na daladala atapata chake kituo cha mafuta atapata chake wauza vyakula Na vinywaji watapata vyao nk.Mbio za mwenge ni njia moja ya kuamsha uchumi Na Mzunguko wa pesa eneo unaopita.Madiwani Warombo Chadema Hongereni kwa kulijua hilo kuwa mwenge si mwenge tu kuna mamilioni ya pesa unamwaga ukipita mahali
 
Naamini wanachadema wameshiriki shuhuli za mwenge ila siamini kama Dr.Bashiru kama atabaki salama kwa kuvujisha siri kuwa CCM mnashinda kwa wizi wa kura hadi raiya hawakanyagi tena kwenye vituo vya kupigia kura.
Huyu ni msomi. Kazungumza iliyo kweli
 
Back
Top Bottom