Madiwani CHADEMA Rombo wakimbiza mwenge

Madiwani CHADEMA Rombo wakimbiza mwenge

Hivi mmwenge una kitu gani cha maana hadi wanatu wanaulinda na binduki? au ni serikali wamekuwa ni waoga sana siku hizi kwa watu wanoawatawala? naona hata msafara wa jiwe binduki ni balaa
 
Hawa ndio madiwani wenyewe na wa katikati nj KATIBU WA CHADEMA WILAYA YA ROMBO
Kazi ipo
Magufuli ana grisi kali sana
IMG-20181006-WA0031.jpeg
 
Kukimbiza mwenge nayo imekuwa ishu? Siku hizi siasa zimekuwa za kibaguzi sana.
 
Tarehe 30 Nilishangaa sana kuona madiwani wangu watatu wa chadema na katibu wetu wa Chadema wilaya wakiwa wameshona sare za mwenge na kukimbiza Mwenge wa Uhuru tangu kuupokea hadi Mwisho wa wilaya

Nisaidieni sie wakijijini,je sera yetu mpya imekubali kuunga Mkono na kushiriki Mbio za Mwenge wa UHURU? kwa sisi wanachadema?

Maana chama kama kimekufa hivi Rombo

Picha hii ni ya Diwani wa kata ya Makiidi na Mwenyekiti wa BAVICHA WILAYA YA ROMBO
akiufagilia kwa kuushika Mwenge wa Uhuru
Wadau sera mpya nazipata wapi naomba nitumiweView attachment 887840View attachment 887843
CCM ni kama maji ,utake usitake lazima utawanywa tu
 
Rombo madiwani wote chadema sasa wasipokimbiza nani atakimbiza mkuu
 
Kama mnazungumzia warombo wanaojitambua, mbowe yeye alitoka wapi? au bashiru yeye hajitambui
Aisee wewe mbona kichwa ngumu namna hii? Hapa ni hao warombo na mbio za mwenge ndio wanaozungumziwa. Mbowe fyekelea mbali.
 
Bashiru na warombo wanaokimbiza mwenge wapi na wapi. Hapa tunajadili warombo wewe unaanza oh Bashiru sijui nini. Fyekelea mbali.
Mbowe na warombo wakimbiza mwenge wapi na wapi? fyekelea mbali kicha na washabiki wake
 
Back
Top Bottom