Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
MZEE VITUKO....USHAURI
Mzee mmoja baada ya kupata tetesi kuwa kijana wa kijijini kwake anachukua mke wa mwenzake, alimfuta na kumwambia.
Mzee:....kama unafanya, basi si vizuri unavyofanya hasa kufanyia hapa mtaani. Bora ufanyie hukoo ukipata tatizo ndiyo ukimbili huku tukusaidie. Na kama hufanyi, basi washakusingizia. Na kama ni hivyo, sasa, tafuta kila ila njia ufanye kisha ukome na usirudie tena kwasababu si vizuri.
Mzee mmoja baada ya kupata tetesi kuwa kijana wa kijijini kwake anachukua mke wa mwenzake, alimfuta na kumwambia.
Mzee:....kama unafanya, basi si vizuri unavyofanya hasa kufanyia hapa mtaani. Bora ufanyie hukoo ukipata tatizo ndiyo ukimbili huku tukusaidie. Na kama hufanyi, basi washakusingizia. Na kama ni hivyo, sasa, tafuta kila ila njia ufanye kisha ukome na usirudie tena kwasababu si vizuri.