Makanisa ya kileo ya manabii na mitume
Au Kukodi bar zilizokufaMgosi siku hizi hakuna makanisa.
Tanga siku hizi hakuna Cinema majengo yote, magic cinema na majestic cinema yamegeuzwa makanisa.
Lakini yanayofanyika humo makanisani ni siri ya humohumo.
Kanisa linatakiwa lijengwe kwa michango ya wana usharika na sio kutumia shule au maukumbi ya ajabuajabu kwenda kupiga yowe usiku kucha.
Na kweli la kishenziView attachment 379100View attachment 379101afungiwa kanisani(kanisa la kishenzi)kwa muda wa wiki mbili kwa kosa la kudokoa kipande cha nyama huko Africa magharibi
Makanisa ya kileo ya manabii na mitume
kila ulipoweka mkato, na nukta.... najikuta nawajua kwa majina hongera mtumishi kwa kufungukaUkiona mtu anajitangaza kuwa ni askofu au mtume ujue lipo tatizo...wao wanatembelea magari ya kifahari, wana majumba makubwa ya kifahari, wengine wana mpaka ndege au helkopta...fedha zinakusanywa 'kinoma' kupitia kinachoitwa 'fungu la kumi'...wengine wanapora wanawake wa waumini wenzao...ni hatari...binadamu bwana, we acha tu...
Halafu wanakunywa pombe na kufanya ushirikina na ibada za kishetaniUkiona mtu anajitangaza kuwa ni askofu au mtume ujue lipo tatizo...wao wanatembelea magari ya kifahari, wana majumba makubwa ya kifahari, wengine wana mpaka ndege au helkopta...fedha zinakusanywa 'kinoma' kupitia kinachoitwa 'fungu la kumi'...wengine wanapora wanawake wa waumini wenzao...ni hatari...binadamu bwana, we acha tu...
Halafu wanakunywa pombe na kufanya ushirikina na ibada za kishetani
Hahaaaaah, mshana jr naye bwana...hebu leta picha zao tuone kama ilivyo kawaida yako....by the way mshana jr...usimwache shemeji aende kwenye 'makanisa' ya aina hiyo, utalia... tehtehtehtehteh
View attachment 379664View attachment 379665picha ya mwisho hizo nyuso ni edition