Huyo anajifaragua tu. Eti asile mchele, viazi na vitu vingine atakula nini? Sumu za kwenye makopo kutoka Afrika Kusini kwenye masupamaketi uchwara? Na wangapi wanaweza kumudu hizo sumu za supamaketi? Anachekesha!
Hahahahahahahahaha
Huyo anajifaragua tu. Eti asile mchele, viazi na vitu vingine atakula nini? Sumu za kwenye makopo kutoka Afrika Kusini kwenye masupamaketi uchwara? Na wangapi wanaweza kumudu hizo sumu za supamaketi? Anachekesha!
Usisahau mishkaki.Naomba Chipsi Zege isikauke sana changanyia na kachumbari mix mix tia pilipili....tomato redgold chumvi weka pembeni usisahau na ukwaju..
Mwambie wavinywaji alete Pespi bariiidi nikiwa nasubiria
Ni utani tu huu mkuu. Relax!Katika mada ambazo huwa naona za kipumbavu ni hizi kwa nini tunaanza kubaguana kwa vitu vidogo eti yule mwanaume sijui wa wapi huyu wa wapi jamani tanzania ni yetu sote kila watu wana staili yao ya maisha tuachane na hivi vitu havitujengi kabisa kama unajua vyakula flani vina madhala kwa mtumiaji jalibuni kutoa elimu kwa walaji sio kukejeliana tanzania ni yetu sote tupendane ukiona mwenzako anakula kibovu muelimishe tujenge taifa la watu wenye afya imala.
Zitunze na kesho ni siku. Yaani wala chips wambwe radhi na gazeti?Yereuuwwwiiiii na mbavu zangu....
Katika mada ambazo huwa naona za kipumbavu ni hizi kwa nini tunaanza kubaguana kwa vitu vidogo eti yule mwanaume sijui wa wapi huyu wa wapi jamani tanzania ni yetu sote kila watu wana staili yao ya maisha tuachane na hivi vitu havitujengi kabisa kama unajua vyakula flani vina madhala kwa mtumiaji jalibuni kutoa elimu kwa walaji sio kukejeliana tanzania ni yetu sote tupendane ukiona mwenzako anakula kibovu muelimishe tujenge taifa la watu wenye afya imala.
Tutaleta wataalamu kutoka Rwanda wa kulima viazi dar.mta survive vipi sasa na nyie? wapi wakiweka mgomo wakulima na wanunuzi nani ataumia zaidi?

Ww hujui rwanda iko mbele yetu ktk sekta nyingi?Tutaleta wataalamu kutoka Rwanda wa kulima viazi dar.![]()
Magufuli ameagiza wataalamu wa ndege na sisi tutaleta wa viazi ndio wapo mbele zaidi yetu ndio nikawaita wataalamu wetu.Ww hujui rwanda iko mbele yetu ktk sekta nyingi?
s mpo?