Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
- Thread starter
- #41
Waandikie Mtanzania wafanye marekebiaho kama unadhani ni makosa lakini usinitolee povu mimi kwa sababu sijakulazimisha kufakamia machips haya yaliyopikwa kwa mafuta ya transfoma. Typo ya mwandishi (mzembe) haibatilishi utafiti wote. Hasa hasa wataomba msamaha na kusahihisha kosa basi.Hivi wewe na akili yako mafuta ya milimita 250 katika sahani moja hivyo viazi si vingekuwa vinaelea? alafu unasema utafiti wa muda mrefu.Ni pumba tu na hilo gazeti liwaombe radhi wasomaji wake kwa kudanganya umma.