Madhara ya ulaji wa chips

Madhara ya ulaji wa chips

ahahaha,wenyewe wanajisifia kuwa wanawagonga dada zetu bila kujua kuwa hao ni dada zao wa dar,watu wa singeli na vigodoro.
 
basi atakuwa mwandishi wa mkoani
Ni utafiti wa Kisayansi tena wa muda mrefu. Mwandishi kaurejelea tu kwa kunukuu dodoso muhimu. Hakuna mahali ameingiza bias zake. Kwa hivyo hoja yako hii inakufa kifo cha kibudu!
 
Ni utafiti wa Kisayansi tena wa muda mrefu. Mwandishi kaurejelea tu kwa kunukuu dodoso muhimu. Hakuna mahali ameingiza bias zake. Kwa hivyo hoja yako hii inakufa kifo cha kibudu!
Hivi wewe na akili yako mafuta ya milimita 250 katika sahani moja hivyo viazi si vingekuwa vinaelea? alafu unasema utafiti wa muda mrefu.Ni pumba tu na hilo gazeti liwaombe radhi wasomaji wake kwa kudanganya umma.
 
Kuna typo hapo. Yaani kweli 250 ml (i.e., robo lita ya mafuta, au ujazo wa chupa moja ya coke)? Haiwezekani
Kwa kweli...! 250ml za mafuta kwenye sahani moja tungekuwa tunayanywa kama supu, ha haaa!
 
Hivi wewe na akili yako mafuta ya milimita 250 katika sahani moja hivyo viazi si vingekuwa vinaelea? alafu unasema utafiti wa muda mrefu.Ni pumba tu na hilo gazeti liwaombe radhi wasomaji wake kwa kudanganya umma.
Kuwa serious kidogo yaani gazeti liombe radhi wala chips?
 
Dhambi ya kuchagua vyakura itawatafuna.Hadi mshindwe kunenepa
 
walivyo wabishi wameanzisha na shindano la chipsi mayai kabisa
Unamaanisha lile shindano wanzilishi ni jamaa zake KAOGE? wewe, KAOGE na waanzilishi wa lile shindano wote kaya moja! Endeleeni kulima, sie huku tunawalisha dada zenu, kisha TUNACHEKA KWA DHARAU!
 
Back
Top Bottom