Toga
JF-Expert Member
- Oct 21, 2015
- 665
- 861
Katika mada ambazo huwa naona za kipumbavu ni hizi kwa nini tunaanza kubaguana kwa vitu vidogo eti yule mwanaume sijui wa wapi huyu wa wapi jamani tanzania ni yetu sote kila watu wana staili yao ya maisha tuachane na hivi vitu havitujengi kabisa kama unajua vyakula flani vina madhala kwa mtumiaji jalibuni kutoa elimu kwa walaji sio kukejeliana tanzania ni yetu sote tupendane ukiona mwenzako anakula kibovu muelimishe tujenge taifa la watu wenye afya imala.