Madhara ya nyoka ni sumu na sio gamba.

Sonara

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2008
Posts
726
Reaction score
71
Inakuwaje livuliwe gamba na kuwachwa sumu?
 
Loh umenena kifupi na kiukweli,
Gamba unaweza kulichezea utakavyo na hata ukajifunga shingoni, mkononi, mguuni au hata kiunoni. Tena gamba mara zote huwezi kulivua kwa nyoka bila ya muda wake mdudu huyo kujivua tena kwa hiari, katu huwezi kulazimisha kumvua gamba nyoka pasi hiari/ridhaa yake mdudu huyo tena kwa wakati maalum. Lakini sumu weeeee....thubuuuutuuuuu!!
Ni mithili ya kiini macho 'kuwavua' magamba, wao 'wanaotakiwa kuvuliwa' wangejitamkia kujivua gamba (tena kwa hiari) hapo lingeeleweka vema kimantiki lakini sio hizi ngonjera.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…