Kuwekeana sumu taasisi za umma kunaongoza

Kuwekeana sumu taasisi za umma kunaongoza

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,369
Kwa sasa wanajitahidi kukuteka maana mtindo wa kuwekeana sumu watu wameshtuka labda kama ni mgeni.

Idara za serikali kila mtu anamuona mwenzake nyoka.

Ukiwa mpole, Mkweli, mpenda haki subiri kifo cha mungu wao sio mungu unayemjua.

Imefikia ofisini hapa mpaka chai mtu anawasha gari kwenda kupata sehemu anazojua mwenyewe.
 
Mnawekeana sumu gani huko za panya maana polo najua hamna uwezo wa kuipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom