Madhara ya kutumia condoms

Madhara ya kutumia condoms

Condom zinabana sana mpaka huwa ninapoteza hamu ya tendo, na kwa kuwa siwezi kuuza mechi basi nalazimika kuwa mwaminulifu tu
 
Condom ya nini sasa?ina maana mungu alikuwa mjinga?Kama unaona hapa mahali sio kwanini uende kwa kurisk?
 
mmmmmh condoms zinawaumiza wanawake na sio wanaume kwa wanaume labda yale mafuta ya ndani ndo huweza kusababisha cancer
 
mm nikivaa kondom sikojoagi kabisa inabana sana misuli mwishowe navua napiga dry
 
mhhh,nimesikia tu baadhi ya wanaume wakilalamika eti kondom zinaumiza mishipa ya uume, ,,,sa sina uhakika hivi ni kweli au uzushii tu
binafsi sija experience tatizo hilo isipokuwa ukitumia hiyo kitu ladha inapungua
 
Usiwe na haraka. subiri ukiwa Mwanaume utalijua hill.
 
Kuvalisha yenyewe hadi ulazimishe. Kwa nn usipate shida. Nikivaa mpira nahesabu sijagegeda
 
mm nikivaa kondom sikojoagi kabisa inabana sana misuli mwishowe navua napiga dry
Mkuu Jaribu kutumia brands tofauti coz hata mimi niliwahi kuwa na tatizo kama hilo especially nikitumia ruff rider. Nilishauriwa niwe nabadilisha brand ya condom mpaka nitakapo ipata ambayo nipo comfortable nayo na nilifanikiwa.
 
Back
Top Bottom