Madhara ya kutumia condoms

Madhara ya kutumia condoms

mh! mwenzio hainitoshi:smile-big::smile-big::smile-big:
 
mhhh,nimesikia tu baadhi ya wanaume wakilalamika eti kondom zinaumiza mishipa ya uume, ,,,sa sina uhakika hivi ni kweli au uzushii tu
Huu ni uongo ambao huko uchi.
Kwani zimetengenezwa kwa steel wire?
 
Ziko baadhi mm zilinitoa vipele.....bado natafuta tiba..!
 
Condom hazina tofauti na go.vi sikushauri utumie
 
SALT, radha zote unajua... yenye nguo, isiyo na nguo (iliyopelekwa hospitali na ambayo bado)!!!! Hongera mnooo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom