Madhara ya kutumia condoms

Madhara ya kutumia condoms

mhhh,nimesikia tu baadhi ya wanaume wakilalamika eti kondom zinaumiza mishipa ya uume, ,,,sa sina uhakika hivi ni kweli au uzushii tu

Sidhani kama zina madhara au kubana, zenyewe ni free size, huyo zinaembana atakuwa "over size", by the way, wadau hatuzipendi tu kwa ile adha ya kujipiga bao wenyewe.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
samahan. mimi ni kijana nina miaka 18 . nina govi langu. cna haja ya condom
 
ukimwi HAUNA TIBA BADO use protection under any situation

kwa mpini upi mpaka uumie misuli???????
 
Mi nikitumiaga huwa sipigi bao mpaka majogoo
 
hatupendi kondom lakin tunalazmika kuztumia for security reasons
 
Back
Top Bottom