Madhara ya kutahiri mtoto mchanga

Madhara ya kutahiri mtoto mchanga

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,300
Mtoto atahiriwe at least at age 4 na kuendelea. Sio chini ya hapo

Aliye upande wa kushoto ni David Reimer, na upande wa kulia ni Brenda Reimer — wote wawili ni mtu mmoja.

Mwaka 1966, baada ya tohara iliyofanyika utotoni kwenda vibaya sana, madaktari walishauri kwamba David afanyiwe upasuaji wa kumwondolea maumbile ya kiume na alelewe kama msichana. Wazazi wake walikubaliana na ushauri huo, na alimwita Brenda, akalelewa kama mtoto wa kike.


Hata hivyo, akiwa na umri wa miaka 13, David alikataa utambulisho wa kuwa msichana na akachagua kuishi tena kama mvulana.
1751119733762.jpg
 
Wazazi huwa wana viherehere sana vya kutahiri watoto. Sijui huwa wanawashwa wapi?

Haswa hawa wazazi wa TIK TOK akina MA MTU na BA MTU, ni majangaa... mtoto ana wiki kashatahiriwa.

MA MTU kafuga kucha anapokea ushauri kwa mashosti, akili yenyewe hana, basi huyo nduki kwenda kukata GOVI LA MWANA.

Mwisho wa siku mtoto anabaki na kibamia halafu wanabaki kushangaa mbona hawaridhishwi.

Sasa hivi tutapeleka MUSWADA bungeni wa kuhakikisha kila anayetaka kuzaa awe na angalau MASTERS.

Tumechoshwa na ujinga wa akina MA MTU na BA MTU. Tutakuja kuwa na TAIFA LA VIBAMIA. Mangumbaru yanazaa hovyo bila kuwa na ELIMU!

Hivi hii haihatarishi usalama wa Taifa? Mzee wangu johnthebaptist Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Lamomy cocastic dronedrake
 
Wazazi huwa wana viherehere sana vya kutahiri watoto.

Haswa hawa wazazi wa TIK TOK akina MA MTU na BA MTU, ni majangaa... mtoto ana wiki kashatahiriwa.

MA MTU kafuga kucha anapokea ushauri kwa mashosti, akili yenyewe hana, basi huyo nduki kwenda kukata GOVI LA MWANA.

Mwisho wa siku mtoto anabaki na kibamia halafu wanabaki kushangaa mbona hawaridhishwi.

Sasa hivi tutapeleka MUSWADA bungeni wa kuhakikisha kila anayetaka kuzaa awe na angalau MASTERS.

Tumechoshwa na ujinga wa akina MA MTU na BA MTU. Tutakuja kuwa na TAIFA LA VIBAMIA.

Hivi hii haihatarishi usalama wa Taifa? Mzee wangu johnthebaptist Extrovert Mbaga Jr Poor Brain Lamomy cocastic dronedrake
Wanawaharibu Sana watoto kuwatahiri bado vichanga
 
Back
Top Bottom