Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
- Thread starter
- #121
Wana JF,
Tuache kupotosha mada hii. Israel inayozungumziwa na Biblia ni ileile ya sasa knayoongozwa na Ben Netanyahu.
Biblia inatufundisha kuwa Abramu na baadaye Abrahamu ndiye baba wa Wana Israel ambao walichukuliwa Misri utumwani na baadaye kurudishwa katika nchi yao ya Ahadi Kanani ambayo ndipo ilipo nchi ya Israel ya sasa. Tunaposoma Biblia kitabu cha Mwanzo(Genesis)12:1-3 inasema,
1 The LORD had said unto Abram, Get thee out of thy country, and from thy kindred, and from thy father's house, unto a land that I will shew thee.
2And I will make of thee a great nation, and I will bless thee, and make thy name great; and thou shalt be a blessing:
3And I will bless them that bless thee, and curse him that curseth thee: and in thee shall all families of the earth be blessed.
Sina maneno ya kufasiri kwa kiswahili lakini ni wazi kabisa Mungu alimaanisha kuwa Abrahamu ndiyo asili ya Israel ya sasa na
Abrahamu alimzaa Isaka naye Isaka akamzaa Yakobo(Israel).
Biblia imesema kuhsu Ishmael aliyezaliwa na mjakazi wa Sarah mkewe Ibrahimu kwa vile alikuwa tasa kwa muda mrefu. Uzao wa Ishmae(Palestina)haukuwa mpango mkamilifu wa Mungu na Biblia inasema huyu alikuwa mtoto wa haramu na kamwe asinge rithi pamoja na Isaka lakini atakuwa mwiba kwa ndugu yake Isaka!
Sote tunajua kinachoendelea kati ya Israel na Palestina and that is biblical and nobody can change that! Hivo basi kuisusia na KULAANI ISRAEL NI KUJITAFUTIA LAANA ya bure.
Tanzania kwa mara ya kwanza ulivunja uhudiano wa kibalozi na Israel baada ya vita vya Israel na Waarabu mwaka 1967 na ndiyo maana hatuna balozi wetu nchini Israel wala wao hawana balozi ao hapa kwetu.
Hili lilikuwa kosa kubwa sana alilowahi kufanya Baba wa Taifa Mwl.Nyerere(rip).Hapo ndipo laana ya Tanzania ilipoanzia(let this think deep into thine tiny mind).Mungu si mwanadamu hata aseme uongo! Dhambi ya kulaaniwa na Mungu baada ya kuilaani Israel na kuvunja ubalozi wake bado inatutafuna Tanzania. Hapa ndipo penye majibu ya KWANINI TANZANIA INA UTAJIRI WA RASLIMALI ZA ASILI KAMA MADINI,GASI ASILIA, WANYAMA,ARDHI KUBWA NA MIFUGO LAKINI NCHI BADO NI MASKINI?Hili swali aliulizwa JK a.k.a Mzee wa Msoga na mtangazaji wa BBC akajibu kuwa HATA YEYE KAMA RAIS ALIKUWA HAJUI!Na kweli hajui mpaka sasa!
Inaskitisha mtu ameleta uzi hapa ati anashabikia PM wa Israel kutoitembelea Tanzania kati ya nchi 3 muhimu za waanzilishi wa EA ya kale! Mtu hajiulizi ni kwa nini Ben Netanyahu kafika Uganda,Kenya,Rwanda na Ethiopia! Labda nitoe mfano mdogo tu wa hizi nchi 4 alizotembelea Netanyahau.Kwa vile vina ufungamano na utengamano na Israel nchi ZIMEBARIKIWA KATIKA CHUMI ZAO NDIYO MAANA UCHUMI WA NCHI HIZI(BLESSED) UKO VIZURI AS COMPARED TO TANZANIA(CURSED).
Ukiangalia nchi zote hizi hazina utajiri wa Raslimali kama Tanzania lakini ZOTE ZINA MASHIRIKA YA NDEGE YALIYO IMARA:Kenya Airways,Uganda Airways,RwandaAirways,Ethiopian Airways!!!!Tanzania Airways iko ICU inapumulia mashine! Tanzania peke yetu kwa maana ya dunia ndo tuna madini ya TANZANITE lakini Wakenya wanaongoza kwa kuuza madini haya nje ya nchi yao!
Angalia kwenye utalii Kenya wanatuzidi kwa biashara ya Utalii kwa mbali kabisa kwa vile wako smart kwenye utangazaji wa biashara hii kiasi kwamba ni kazi kuwashawishi Wazungu/Watalii kwamba MLIMA KILIMANJARO HAUKO KENYA!!!
Udhaifu wote huu wa Tanzania kushindwa kutumia fursa hizi tulizo jaaliwa na Mwenye enzi Mungu ni sehemu tu ya LAANA HII YA MUNGU KWA KUSHINDWA KUHESHIMU MAAGIZO YA MUNGU YA KULIHESHIMU TAIFA LA ISRAEL!!
Kama serikali ya Magu na CCM yake anapenda kuona nchi hii uchumi wake ukitamalaki basi lazima kurejesha uhusiano na Israel ikiwa ni pamoja na kufungua ofisi za Ubalozi kati ya nchi hizi 2 vinginevo laana itaendelea kuitafuna nji hii!
Najua kuna Waislamu hawapendi kusikia habari hii kwasababu ambazo mimi naziita ni za kipuuzi.
Kama unaamua kutumia Biblia basi naamini kwamba wewe Mkristo au unajiita Mkristo na kama hilo ni kweli basi nitadiriki kusema hata Dini yako yenyewe hauilewi, hivyo unaamini tu na kupelekeshwa, jaribu kwanza kuzielewa hizo Dini siyo unaamini tu juu juu!