Mara nyingi inatokea kwa mfano bibi alikuwa na tabia fulani nzuri au mbaya au hata babu yule mtoto utakayempa jina linalofanana na hao watu lazima atarithi zile tabia za yule mwenye jina mimi nina ndugu zangu wengi wamepewa jina la mtu fulani kwenye ukoo wetu basi wale wote waliopewa lile jina ni wakorofi mno yaan ni wagomvi sana kufuatilia historia ya mwenye jina na yeye unaambiwa alikuwa mkorofi sana
Unachosema mdau ni cha kweli kabisa, sasa nini kifanyike? au tupewe tu majina ya kawaida haya ya (wazungu)?
Kuna watu ukipewa majina yao una beba na tabia zao kabisa.
Na wewe unapotumia jina ambalo si lako kwenye JF je lina madhara gani?Wana JF,
Kuna kasumba ya wazazi kuwapa watoto wanaowazaa majina ya (kiukoo) aidha ya babu ama bibi, ukiachilia mbali majina yetu haya ya kawaida kwa maana majina ya wakristo, kwa walio wakristo, na waislam, kwa walio waislam.
Sasa swali langu ni kwamba: Yapi madhara ya kumpa jina mtoto, mwanao, jina la ukoo?
Maana nilishaskia (some story) huyu mtoto ana tabia kama babu yake, au mlevi, mcheshi, kama bibi yake.
Karibuni tulijadili hili swala wana JF!
SiKutishi
KUNA MIMBA ZINGINE.ZIMETUNGWA BAR MKUU SIRI ANAJUANMAMA SASA UKIMPA JINALAMAMA US ISHANGAE AKARITHI
WAPO WALIOPEWA MAJINA YA MAMA AMA BIBI SIKUTISHI BIBI AKAACHIKA MWANAE YAANI MAMA AKAACHIKAPAKA LEI WAJUKUU WENGINR WAMEOGOPA KABISA KUOA AMA KUOLEWA SABABUBU YA JINA.
sikutishi
kuna mimba zingine.zimetungwa bar mkuu siri anajuanmama sasa ukimpa jinalamama us ishangae akarithi
wapo waliopewa majina ya mama ama bibi sikutishi bibi akaachika mwanae yaani mama akaachikapaka lei wajukuu wenginr wameogopa kabisa kuoa ama kuolewa sababubu ya jina.
Atakuja na jina lke la kitumwa wakati mm naangalia jina la kiafrika hasa, ndipo atasaga meno
we jamaa post zako huwa ngumu sana kuzisoma...utakuwa mkimbizi au hujui kuandika vizuri tu
Mponeja Ng'wana SusanaMpandouji Ng'wana-Nsambi