under the same sun
Senior Member
- Jan 15, 2014
- 160
- 37
Wana JF,
Kuna kasumba ya wazazi kuwapa watoto wanaowazaa majina ya (kiukoo) aidha ya babu ama bibi, ukiachilia mbali majina yetu haya ya kawaida kwa maana majina ya wakristo, kwa walio wakristo, na waislam, kwa walio waislam.
Sasa swali langu ni kwamba: Yapi madhara ya kumpa jina mtoto, mwanao, jina la ukoo?
Maana nilishaskia (some story) huyu mtoto ana tabia kama babu yake, au mlevi, mcheshi, kama bibi yake.
Karibuni tulijadili hili swala wana JF!
Kuna kasumba ya wazazi kuwapa watoto wanaowazaa majina ya (kiukoo) aidha ya babu ama bibi, ukiachilia mbali majina yetu haya ya kawaida kwa maana majina ya wakristo, kwa walio wakristo, na waislam, kwa walio waislam.
Sasa swali langu ni kwamba: Yapi madhara ya kumpa jina mtoto, mwanao, jina la ukoo?
Maana nilishaskia (some story) huyu mtoto ana tabia kama babu yake, au mlevi, mcheshi, kama bibi yake.
Karibuni tulijadili hili swala wana JF!