cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,943
😂😂😂 Ulanzi unaua magoti? MM hii umeitoa wapii??Hahaha pombe gani inaua magoti 😁 ile kwa sisi wanaume ni taka taka kabisa labda kwenu
😂😂😂 Ulanzi unaua magoti? MM hii umeitoa wapii??Hahaha pombe gani inaua magoti 😁 ile kwa sisi wanaume ni taka taka kabisa labda kwenu
Nimeitoa kwenye vilabu vya ulanzi huko iringa😂😂😂 Ulanzi unaua magoti? MM hii umeitoa wapii??
usiingie jf ukiwa kwenye public transport maana kuna vitu vinaweza fanya ukacheka ghafla abiria wenzako wakakushangaatofaut kati ya l na r
nawaachia nyie wajuaji
unamsema semaji la timu za taifa?Ukiona mtu anakula ugoro jua alikofika ni kubaya sanaaa ni mfwu anayetembea
Zambia mademu na wake za watu wanapaka kwenye kHapana! Situmii
Sasa wanapaka kwa matokeo gani baadae? Au ili iweje?Zambia mademu na wake za watu wanapaka kwenye k
ukienda congo lubumbashi ni same ishu!
😂😂😂 ila wewee, duuhNimeitoa kwenye vilabu vya ulanzi huko iringa
Nani huyo?unamsema semaji la timu za taifa?
😃😃😂😂😂 ila wewee, duuh
😂🤣Hao ndio huitwa "wakorofi"kuna watu kazi yao ni kuja kukosoa tu spelling
Mbona nawaona wengi tuu wala ugoro wako fresh tuu na hawana hivi vitisho ulivyoorodhesha hapa?*Madhara ya Kula Ugolo
1. Mfumo wa Chakula
- Kichefuchefu na kutapika
- Maumivu ya tumbo na kuchoma koo
- Kuharisha
- Vidonda vya tumbo
2. Ubongo na Neva
- Kizunguzungu na kupungua fahamu
- Kusahau na kushindwa kufikiri vizuri
- Kuchelewa kwa uamuzi
- Kulevya - unategemea ili "upate raha"
3. Viungo vya Mwili
- Ini kuharibika - ini ndilo huchuja sumu
- Figo kuharibika
- Mapafu kushindwa - hasa kama unavuta kemikali zake
- Moyo kupata matatizo
4. Mengineyo
- Utapiamlo - unakosa virutubisho
- Meno kuharibika
- Ngozi kuwa mbovu
- Hatari ya kifo kama ni kiasi kikubwa
Kemikali hatari ndani ya ugolo: toluene, acetone, benzene. Hizi ni sumu.
Hata wewe ungeandika "wakolofi" tungekukosoa tuu.😂🤣Hao ndio huitwa "wakorofi"