Madhara ya Kula Ugolo

Madhara ya Kula Ugolo

Ugoro unaongeza nguvu za kiume mnooo... Hogo linasimama kama kisiki cha mpingooo.. Unapiga shoo za kibabe sn ni mwendo wa makojozii tuu
Ile taka taka hapana bwashee, nikiwa chuo nilimeza ugoro nikaona nyota nyota , labda ule wa masai una vibe la chafya
 
Mimi mfano Kila jioni lazima ninywe konyagiiii ndogo moja then nirudii kujumuika na familia

Currently nimeacha pombe Kali maana zilianza kunipa hali tofauti now Kila jioni napiga BIA MBILI then naenda nyumbani

Nilicho jifunza Mimi pombe kwangu hunipa nguvu na energy ya kupembua mambo hivyo mambo yanaenda vyema

NB. Waraibu ni wabishi mno unakumbuka chid benz alivyo kua Teja ujuaji na ubishi mwingi sanaa now Mungu kamsaidia kakaa sawa
Kama unapenda pombe sawa
Ila sio kwamba inakua nguvu, hapana ni inakua dopamine tu.

Hizo nguvu ni matokeo tu ya dopamine activation
 
Kama kungekuwa ba batani ya kublock mtu hapa Jf hawa ambao mnakosoa spelling ningeblock wote
maana kuna watu kaz yao ni hio tu mimi siwez kuvumilia mkosoaji wa kila kitu
Hiyo sio kukosea spelling , sisi sio wajinga .
 
hawasikii hawa watoto pombe kali mixer ugoro na energy drink.
Si unaona siku hizi kuna over stimulation. Kikubwa ni kujaribu kuwaasa waachane na makundi maovu.

Ninapoishi kuna madogo wa primary huwa wanakula bangi kabisa... Tena wananzengo wanaona live... Ila. Hakuna anaye ongea wala kuwaonya
 
Ugoro ni mchanganyiko wa tumbaku kavu na magadi na chumvi kiasi ya mawe
inapondwa au kutwangwa na kuaniakwa kivulini..

Mtu anaevuta gomba.tumbaku au sigara wote ni wanapititia madhara yale yale

Ila swali kwanini mababu na mabibi walitumia ugoro kwa miaka mingi na hawakupata madhara?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom