Madhara ya Kula Ugolo

Madhara ya Kula Ugolo

Ukiona mtu anakula ugoro jua alikofika ni kubaya sanaaa ni mfwu anayetembea
Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..

Wenyewe waliita kubeha ugoro..

NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.

Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
 
Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..

Wenyewe waliita kubeha ugoro..

NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.

Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Hakuna ushauri hapo inabidi arudi ndani
Atumie huo muda anakula ugoro kurudi ndani yake

Meditation helps. Inabidi ajue why anafanya hicho kitendo. What is he afraid of?
 
Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..

Wenyewe waliita kubeha ugoro..

NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.

Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Analala siku nzima haamki ?
Au nianze kutumia ugoro 🙄
 
Hakuna ushauri hapo inabidi arudi ndani
Atumie huo muda anakula ugoro kurudi ndani yake

Meditation helps. Inabidi ajue why anafanya hicho kitendo. What is he afraid of?
Mimi mfano Kila jioni lazima ninywe konyagiiii ndogo moja then nirudii kujumuika na familia

Currently nimeacha pombe Kali maana zilianza kunipa hali tofauti now Kila jioni napiga BIA MBILI then naenda nyumbani

Nilicho jifunza Mimi pombe kwangu hunipa nguvu na energy ya kupembua mambo hivyo mambo yanaenda vyema

NB. Waraibu ni wabishi mno unakumbuka chid benz alivyo kua Teja ujuaji na ubishi mwingi sanaa now Mungu kamsaidia kakaa sawa
 
Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..

Wenyewe waliita kubeha ugoro..

NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.

Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Nicotine ina uraibu wa hali ya juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom