Bwana Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 4,267
- 9,171
Kuna watu hawajui kama ugoro ni tumbaku
Tumbaku ndiyo sigara?Kuna watu hawajui kama ugoro ni tumbaku
Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..Ukiona mtu anakula ugoro jua alikofika ni kubaya sanaaa ni mfwu anayetembea
Hakuna ushauri hapo inabidi arudi ndaniWazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..
Wenyewe waliita kubeha ugoro..
NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.
Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Analala siku nzima haamki ?Wazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..
Wenyewe waliita kubeha ugoro..
NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.
Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Ndio yenyewe yale majani ya tumbaku yanasagwa kutengeneza ugoro.Tumbaku ndiyo sigara?
Kumbe dah sikujua sasa kwa nini mtu akitumia ugoro anaonekana local na kumbe ni kama sigara tuNdio yenyewe yale majani ya tumbaku yanasagwa kutengeneza ugoro.
Ndivyo uzi unavyotakiwa uwe sasa ni mali yetu wadaukuna watu kazi yao ni kuja kukosoa tu spelling
Kuna bibi mmoja alikuwa anakula ugoro aisee akifungua kunywa alikuwa anatishaNdio yenyewe yale majani ya tumbaku yanasagwa kutengeneza ugoro.
Mimi mfano Kila jioni lazima ninywe konyagiiii ndogo moja then nirudii kujumuika na familiaHakuna ushauri hapo inabidi arudi ndani
Atumie huo muda anakula ugoro kurudi ndani yake
Meditation helps. Inabidi ajue why anafanya hicho kitendo. What is he afraid of?
Nicotine ina uraibu wa hali ya juuWazee wa zamani walikua wanatumia kama dawa tena kwa uzurii..
Wenyewe waliita kubeha ugoro..
NB. My youngest brother angu anatumia ni very interesting na ni degree holder anakunywa na pombe Kali.. anaweza kulala siku nzima akilala haamkii mpaka aamke mwenyewe.
Sijui inakuaje mpaka mtu anaingia kwenye maulevii na uteja wa kutumia ugoro by the way hata ukiongea nae very Smart ila sijui umshaur kitu gani aweze KUACHA ULEVII wa ugoro.
Ndivyo uzi unavyotakiwa uwe sasa ni mali yetu wadau
Mno bwashee, leo nimeona nipate bia za moto na nguruwe kidogoKaka upo poa ndugu yangu
Nicotine ina uraibu wa hali ya juu
Zamani ugoro ni wa wa bibi ila sasa hivi mnabugia vijanaUgoro mtam sn jamannnnii
Inaharibu fizi na meno siku hizi ni starehe ya vijanaKuna bibi mmoja alikuwa anakula ugoro aisee akifungua kunywa alikuwa anatisha
Wewe hutumii ugoro?Basi sawa.
Ugoro unaongeza nguvu za kiume mnooo... Hogo linasimama kama kisiki cha mpingooo.. Unapiga shoo za kibabe sn ni mwendo wa makojozii tuuZamani ugoro ni wa wa bibi ila sasa hivi mnabugia vijana