Madhara ya kula ugali kwa wingi

Madhara ya kula ugali kwa wingi

Sio wewe tuu. Mtu yeyote mwenye kipato kizuri na akajua kula, hawezi ifanya sembe kama chakula cha kila siku kwenye nyumba yake. Katika kua kua yetu nakumbuka mara moja moja sana Bimkubwa alikuwa anapika kande. Na penyewe alikuwa anakula mwenyewe. 😊

Angalia watoto wa shule ishu ya macho. Macho yanawatesa sana wanafunzi mikoa hiyo nimetaja. Kutokuona mbali ni kawaida kabisa kwa mtoto wa form II.
ila Mimi sipendi sembe sio kwa sababu ya kuwa na kipato kizuri. Kipato changu ni cha kawaida sana, ila nina shukrani kwa Mungu.
 
Sio wewe tuu. Mtu yeyote mwenye kipato kizuri na akajua kula, hawezi ifanya sembe kama chakula cha kila siku kwenye nyumba yake. Katika kua kua yetu nakumbuka mara moja moja sana Bimkubwa alikuwa anapika kande. Na penyewe alikuwa anakula mwenyewe. 😊

Angalia watoto wa shule ishu ya macho. Macho yanawatesa sana wanafunzi mikoa hiyo nimetaja. Kutokuona mbali ni kawaida kabisa kwa mtoto wa form II.
Wanasema wengi tupo addicted na ugali. Mimi mwenyewe mmojawapo, nikipitisha siku tatu sojala ugali nahisi kuchanganyikiwa 😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom