galatia
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 342
- 829
Kisafi ni kufanya kulingana na maombile kwa mtu sahihiKitendo kisafi ni kipi?!
Kisafi ni kufanya kulingana na maombile kwa mtu sahihiKitendo kisafi ni kipi?!
Sishabikii mkuu naungana na pastor kupinga ushetaniDuh! Galatia unshabikia sanaaaaa
Kwahiyo naofanya nao sio watu sahihi?!Kisafi ni kufanya kulingana na maombile kwa mtu sahihi
Ndiyo wakufanya nae ni mkeo si kila mtu lkn pia kwenye njia aliyoikusudia MunguKwahiyo naofanya nao sio watu sahihi?!
HeheheheNdiyo wakufanya nae ni mkeo si kila mtu lkn pia kwenye njia aliyoikusudia Mungu
Haya uliyoandika hayafanani kabsa na wewe , unajidharirisha jaribu kujistahi mwenyewe
Uliousima vzr ujumbe wako kabla ya kupost? Kama Ndiyo basi sikuwa sahihi kukuwwka katika kundi la watu wenye heshima , nisamehe kwahilo ila kwa sasa nimekuelewa vyema kbsa
"hukutaka na hujawahi fikiria kufanya hivyo"...kwanini??? nadhani jibu unalo mwenyewe...Habari wana Jamii Forum.
Juzi katika matembezi yangu Katika mkoa flani (jina kapuni) nilikutana na demu mzuri kweli kuanzia umbo hadi sura.Tukakubaliana kwenda kugegedana.Cha ajabu wakati tunafanya Kile kitu yule mwanamke akata niingize dushelele langu kwenye (anus) yake kitu kilichonishutua kwa kweli.Kusema kweli sikuweza kufanya vile na sijawahi kufikiria kufanya ivyo .
Sasa naomba kujua madhara yatokanayo na MTU / Wapenzi kufanya mapenzi kinyume na maumbile.Madhara kwa Mwanaume na Mwanamke pia.Nawasilisha.