Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,557
Nenda hili, jamaa anaongea na Yesu moja kwa moja. Ila Yesu huo ana mtuma kukusanya pesa tu !Je kwa eneo la dar es salaam ni sehemu gani kuna kanisa lenye nguvu za Mungu?? Ninaamini katika neno na matendo makuu ya Mungu, ila neno kavu kavu sitaki maana naamini Mungu bado anazungumza na anatenda hadi sasa. Kama nitapata maeneo karibu na kijitonyama itapendeza zaidi