Madereva wa malori waipa Serikali siku 2 mwenzao apatikane, la sivyo watagoma

Madereva wa malori waipa Serikali siku 2 mwenzao apatikane, la sivyo watagoma

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
173
Reaction score
671
Chama cha Madereva wa Malori Tanzania, (TATAMATA) kimetoa siku mbili kwa Serikali kushirikiana nao kumtafuta aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Godlove Materu , la sivyo madereva wote wa chama hicho hawatafanya kazi kuanzia Februari 10, 2026 mpaka apatikane.

Kwa mujibu wa viongozi wa chama hicho, Februari 5, Materu alichukuliwa na watu wasiojulikana waliofika dukani kwake Tunduma Mkoani Songwe wakiwa na gari jeupe aina ya Toyota Land Cruiser.

Wakizungumza na waandishi wa habari leo Februari 8, 2026 jijini Dar es Salaam, viongoi wa chama hicho, wamesema kuchukuliwa kwa Materu ni mwendelezo wa manyanyaso kwao, wakiiomba Serikali isikilize kilio chao.

Baada ya mkutano wa madereva hao na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe alitoa taarifa akikiri jeshi hilo kumshikilia Godlove Materu.


Makamu Mwenyekiti wa TATAMATA, Yohana Mwanyaga


Wakili Aloyce Komba



Katibu wa kamati ya Madereva, Mbuka Mwakitwile




Polisi wawajibu
81183ce6-546e-4a5a-9ee3-a07b4543cad3.jpg
 
Chama cha Madereva wa Malori Tanzania, (TATAMATA) mliambiwa kuwa msiwe machawa wa chama dola kongwe, kwa sababu wakimalizana na wapinzani watawajia ninyi machawa.
 
madereva wajinga wajinga kwani mkiamua kuanzia dar kila mkikuta hao umbwa kanyaga na lori mkiua 10 tu si ujumbe tosha? nchi ina vilaza hiyo yani eti jitu lina silaha aina ya lori then bado linalalamika gongaaaaaaaaaaaaaa kwenye vijiwe vyao vya kutafuta rushwa angalau kumi tu ujumbe unafika, sijui wabongo nani katuroga.
 
madereva wajinga wajinga kwani mkiamua kuanzia dar kila mkikuta hao umbwa kanyaga na lori mkiua 10 tu si ujumbe tosha? nchi ina vilaza hiyo yani eti jitu lina silaha aina ya lori then bado linalalamika gongaaaaaaaaaaaaaa kwenye vijiwe vyao vya kutafuta rushwa angalau kumi tu ujumbe unafika, sijui wabongo nani katuroga.
duuh maamuz yako yanaendana na jina lako aseee! Had nimekuogopa
 
Back
Top Bottom