Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,903
- 113,778
Bujibuji Simba Nyamaume lile deni simuachii tena Mungu utalilipa tu nshapata wanaojua kudaiKaribu sana
Bujibuji Simba Nyamaume lile deni simuachii tena Mungu utalilipa tu nshapata wanaojua kudaiKaribu sana
How can you relate? First time to hear about Collection agency? Sorry for you!Another kalynda on the way
OkHow can you relate? First time to hear about Collection agency? Sorry for you!
Habari! Malipo yetu yamegawanyika kutegemeana na kiwango cha deni!Mnafanyaje kazi
Malipo yenu je? Mteja anawalipa kutokana na deni analodai
Namaanisha gharama atakazowalipa mtu anayedai milioni 3 ni sawa na atakazowalipa anaye dai laki 5
Madeni kwa watumishi hususani askari magereza, askari na wanajeshi huwa mnatumia mbinu gani ?Wenye Madeni,Madeni yenu yameshalipwa?
Nyakisasa Empire wanasubili hizo kazi wawasaidie kuwafukuzia wadaiwa wenu!
Tunaangalia mkataba wa deni,kama una dhamana anapewa notice,notice ikiisha na hajalipa dhamana zinakamatwa. Na kama hakuna dhamana tunampeleka mahakamani ili mahakama itupe mamlaka ya kukama mali zakeMadeni kwa watumishi hususani askari magereza, askari na wanajeshi huwa mnatumia mbinu gani ?
Asipo lipa deni na nyie hamlipwi?Habari! Malipo yetu yamegawanyika kutegemeana na kiwango cha deni!
Kuna mazungumzo baada ya kutujazia assesment form.
No collection no fee.
Karibu sanaView attachment 2386745
acha unoko, malipo ni kwake yeye aliyetuumba..Lipa deni! Ndio kazi ya Kampuni hulipi kwa hiyari tukija utalipa kwa nguvu!
100% hatulipwi,maana tunalipwa kwa tulichokusanya!Asipo lipa deni na nyie hamlipwi?
Lipa deni ww!acha unoko, malipo ni kwake yeye aliyetuumba..
anayekopesha anakopesha kiasi ambacho yupo tayari kukipoteza, acha unokoLipa deni ww!
Ofisi zenu zipo wapiHabari! Malipo yetu yamegawanyika kutegemeana na kiwango cha deni!
Kuna mazungumzo baada ya kutujazia assesment form.
No collection no fee.
Karibu sanaView attachment 2386745
Arusha,SakinaOfisi zenu zipo wapi
Tunakusanya madeni ya mdai kwa niaba ya mdaiwa!Mnafanyaje kazi
Mkimpeleka mahakamani, mdaiwa anapewa samansi, na anakuja mahakamani mnaendesha kesi Ili mpewe hiyo amri?? Nani atalipa hizo gharama za mahakama??Tunaangalia mkataba wa deni,kama una dhamana anapewa notice,notice ikiisha na hajalipa dhamana zinakamatwa. Na kama hakuna dhamana tunampeleka mahakamani ili mahakama itupe mamlaka ya kukama mali zake