HahahahahahahaHiyo AIRTIME si bora wangeweka porno taifa liangalie kuliko jerry muro
Do ........mwenyekiti wa club.Good Jerry. Anasema kama kuna mtu ambaye ana ndugu yake aliyeathiriwa na dawa za kulevya hawezi kupinga vita hii kwa namna yoyote. Kumbe mdogo wake anavuta ndo maana inamuuma.
Anaongeza kwamba kuna vijana Yanga wameharibiwa na madawa ikiashiria vijana wengi kuharibika kama nguvu ya taifa
Wakati sauti yake tunaifahamu.Clip inayozunguka ameikataa si yake
Nashangaa sana umeniquote mimi lakini unazungumzia "msijifanye"..Acheni pumba zenu msijifanye nyie ndio mnajua kila kitu wengine wote hawafai, kazi yenu ni kutetea uhalifu tu katika Nchi hii.
Huyu Jerry nae akapimwe marinda.Jerry Muro alishamaliza kufanya kazi kwa ajili ya taifa kipindi kile, siku hizi analipigania tumbo lake
Kujikomba on fleek
Kwalweli anayebeza zoezi hili hayajamfika, au kuona mtu wake wa karibu anavyoteseka na hivi vitu. Ndiyo maana Nchi kama China ilichofanya ni kuachana kwanza na sera za haki za Binadamu na kuamua kuwanyonga hadharani wote wanaojihusisha na mihadarati lakini huku watu wanaitwa kiungwana ili wakae round table warekebishe mambo, lakini reaction zao zinavuka viwango wanapiga mayowe na kuwahusisha na wapambe wao ili waonekane wameonewa. kwakweli haya mambo yanatia hasira sana! Lakini makonda aliisha liona hilo mwanzoni ndiyo maana alianza kwa kutoa angalizo na kuahidi kwamba amejitolea kufa na kupona.Makonda namhurumia sana ningekuwa mimi ningejiuzulu urc
nikarudi zangu kijijini kulima mihogo haiwezekekani unapambana kuwasaidia watu
wasiathirike na madawa ya kulevya hao hao tena wanakupiga vita Ushauri wangu kwa Makonda
fanya mambo mengine suala la madawa ya kulevya acha vijana waendelee kuharibika tukija kushituka tuwe kama Mexico hapo ndiyo kwa unafiki na uzandiki wa watanzania tutaanza kukumbuka Makonda yaache yafe na maunga yao taifa hili wapumbavu wako wengi sana kuanzia wabunge
Hawa wanafiki nadhani kizazi chao kipo kila mara nakumbuka hata wakati wa Taifa stars chini ya maximo walikuwa wanapiga kelele maximo hafai aiache timu leo hii tumebaki na pakacha letu wako kimyaa! WameridhikaKwalweli anayebeza zoezi hili hayajamfika, au kuona mtu wake wa karibu anavyoteseka na hivi vitu. Ndiyo maana Nchi kama China ilichofanya ni kuachana kwanza na sera za haki za Binadamu na kuamua kuwanyonga hadharani wote wanaojihusisha na mihadarati lakini huku watu wanaitwa kiungwana ili wakae round table warekebishe mambo, lakini reaction zao zinavuka viwango wanapiga mayowe na kuwahusisha na wapambe wao ili waonekane wameonewa. kwakweli haya mambo yanatia hasira sana! Lakini makonda aliisha liona hilo mwanzoni ndiyo maana alianza kwa kutoa angalizo na kuahidi kwamba amejitolea kufa na kupona.