Madalali wa kwenye mazao ni wauaji na wezi

Mkuu, mziki unakuwaga mgumu kwa muuzaji jinsi ya mnunuaji, na kidogo kwa mnunuaji jinsi ya kumpata muuzaji hapa kumbuka mnunuaji hataki kurisk ama hataki kuingia gharama za kumpata muuzaji.


Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mkuu inakuaje ngumu kumpata muuzaji wakati mtu umeshaamua kuingia mzigoni umetoka Dar umevuka mikoa kadhaa kwa nini iwe ngumu kuingia mpaka kijijini ukaishia tu kwenye minada au masokoni...?

Na pia, hiyo gharama ya kumpata muuzaji na hizo 300 kwa kila kilo ipi unakuwa umepoteza zaidi, kuingia interior kuufata muuzaji au kupoteza 300 kwa kila kilo...?
 
Huwa inakua ngumu...kwa sababu mkulima anakua ignorant kujua selling makert price na wewe mnunuaji unakua ignorant kujua buying makert price

Mkulima anakua desperate kuuza akihofu kuuza Bei ya chini ya soko,kwa hiyo anajificha kwenye koti la dalali...na unaweza kukuta anakoboa mchele,ukamuuliza unauza ,anakwambia hauzi,kumbe anasubiri Nini dalali atasema

Mnunuaji huwezi pata mzigo Hadi umuone dalali

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo hapo kwa maelezo hayo inaonekana shida ipo Kwa wakulima wenyewe...?

Na pia, kama wanajua kuwa kwa madalali huwa wanauza kwa bei flani kwa nini bei hiyo asiitaje kwa mnunuzi direct akapewa chake mtu akachukua mzigo biashara ikaisha...?
 
Sasa mkuu inakuaje ngumu kumpata muuzaji wakati mtu umeshaamua kuingia mzigoni umetoka Dar umevuka mikoa kadhaa kwa nini iwe ngumu kuingia mpaka kijijini ukaishia tu kwenye minada au masokoni...?

Na pia, hiyo gharama ya kumpata muuzaji na hizo 300 kwa kila kilo ipi unakuwa umepoteza zaidi, kuingia interior kuufata muuzaji au kupoteza 300 kwa kila kilo...?
Mkuu unaweza kuingia Hadi chimbo...mizigo ukawa unaiona,lakini ukiuliza,ama unatajiwa Bei ambayo huwezi fanyia biashara au unaambiwa imechukuliwa

Ole wako uwe umekosana na dalali hata mmoja Sasa...utamaliza pesa ya mtaji porini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaweza kuingia Hadi chimbo...mizigo ukawa unaiona,lakini ukiuliza,ama unatajiwa Bei ambayo huwezi fanyia biashara au unaambiwa imechukuliwa

Ole wako uwe umekosana na dalali hata mmoja Sasa...utamaliza pesa ya mtaji porini

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio mana nasema kwa maelezo yenu hayo shida itakuwa ipo Kwa wakulima wenyewe haiwezekani mtu awe na mzigo halafu akatae kuuza wakati mnunuzi ameahafika mpaka pale then lawama apewe dalali wakati mkulima ndio anayekwamisha zoezi kwa kukataa kuuza mzigo wake mwenyewe mkuu.
 
Ndio mana nasema kwa maelezo yenu hayo shida itakuwa ipo Kwa wakulima wenyewe haiwezekani mtu awe na mzigo halafu akatae kuuza wakati mnunuzi ameahafika mpaka pale then lawama apewe dalali wakati mkulima ndio anayekwamisha zoezi kwa kukataa kuuza mzigo wake mwenyewe mkuu.
Mkuu mkulima na mnunuzi kumbuka wote wanakua wageni sokoni

Dalali kama zilivyo makert nyingine sema financial makert and the like,yeye anakua ana advantage kwa sababu Ni mwenyeji sokoni...Yuko rich of information

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mkulima na mnunuzi kumbuka wote wanakua wageni sokoni

Dalali kama zilivyo makert nyingine sema financial makert and the like,yeye anakua ana advantage kwa sababu Ni mwenyeji sokoni...Yuko rich of information

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu unayesema mgeni sokoni ni mara yake ya kwanza kuuza/kununua...?

Au unaposema mgeni sokoni una maanisha nini kiongozi...? Unless kama watakuwa ndio biashara yao ya kwanza ila kama ni biashara wanaifanya kila siku inakuaje awe mgeni sokoni kiongozi...?
 
Huyu unayesema mgeni sokoni ni mara yake ya kwanza kuuza/kununua...?

Au unaposema mgeni sokoni una maanisha nini kiongozi...? Unless kama watakuwa ndio biashara yao ya kwanza ila kama ni biashara wanaifanya kila siku inakuaje awe mgeni sokoni kiongozi...?
Kuna baadhi ya mazao hata ufanye biashara hiyo miaka na miaka dalali hakwepeki na bila yeye huwezi pata hata sehemu ya kuuzia huo mzigo wako!!kutokana na uhuni walioishautengeneza,mfano biashara ya viazi mvilingo dar kamwe huwezi ingiza gari soko la viazi useme uuze mwenyewe lazima umtumie dalali wa pale!!nenda kwenye matunda nako ni hivyo hivyo tu
 
Huyu unayesema mgeni sokoni ni mara yake ya kwanza kuuza/kununua...?

Au unaposema mgeni sokoni una maanisha nini kiongozi...? Unless kama watakuwa ndio biashara yao ya kwanza ila kama ni biashara wanaifanya kila siku inakuaje awe mgeni sokoni kiongozi...?
Kiuchumi ...soko Kila siku Ni jipya na Bei zake elekezi za kisoko...mwenye taarifa zote hizi ndo mnufaikaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa sijui anazungumzia madalali gani na wa nchi gani hapa tunazungumzia MADALALI UCHWARA!!ni kerooo yaanai wanavyowafanyia wakulima ni uonevu!!
Mtu asiejua Mkuu hawezi elewa
...yaani wewe unatoka Dar to Ifakara kutafuta sh.200/- katika kilo

Jamaa anakubana unaambulia 100/- yeye Hana mtaji Wala Nini anapiga Hadi 400/-

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu....
Mimi ni dalali, lakini mimi sio mu uaji wala mwizi.
Lakini mimi sio dadalali wa mazao, ingawa naomba nikiri wazi kwamba watu wengi huibiwa na madalali.
Baada ya kugundua hili, mimi nilibuni mfumo mzuri na wauwazi kati ya muuzaji na mnunuaji na kisha baada ya biashara ninalipwa ujira kwa kazi yangu.
Na hata wateja wangu waliowahi kufanya biashara na mimi watakiri hapahapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
We we ni dalali wa nini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
taratibu za upatikanaji mitaji, mitambo, eneo, nishati, stoo, vifungashio, elimu, leseni na mamlaka zingine + kodi lazima utaona nafuu ya dalali

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hill ndyo tatizo, hamtaki kufanya mnachotakiwa kufanya mnabaki kumlilia dalali awahurumie!! Yaan dalali mmempa nguvu nyingi asizostahili

Badala ya kulia lia ni bora mngeunisha nguvu wakulima hta 30 ili muweze kununua mashine za kisasa pamoja na vifungashio ili muamue destiny yenu nyie wenyewe na sio kumpa nguvu mjinga mmoja ambaye hta kusoma hajasoma awaamulie hatima ya maisha yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya mazao hata ufanye biashara hiyo miaka na miaka dalali hakwepeki na bila yeye huwezi pata hata sehemu ya kuuzia huo mzigo wako!!kutokana na uhuni walioishautengeneza,mfano biashara ya viazi mvilingo dar kamwe huwezi ingiza gari soko la viazi useme uuze mwenyewe lazima umtumie dalali wa pale!!nenda kwenye matunda nako ni hivyo hivyo tu
Sikubaliani na wewe kabisa. Ni mazoea yamefanya watu wawe kama watumwa tu. Ukitaka na ukidhamiria kuvunja hiyo circle unavunja bila shida. Tatizo naloliona hapa ni kuwa wengi wa biashara ya viazi na mazao mengine ni watu wenye kipato kidogo na ubunifu mdogo hivyo wanakosa namna ya kujikwamua. Niwe na fedha yangu na niamue kufanya biashara ya viazi uniambie eti ni lazima nitumie dalali? Mtu mwenye fedha nzuri akiamua kujenga godown yenye na cold room na awe na magari ya kusambaza kwa wateja naweza kufanya biashara nzuri kabisa. Na niseme ni jambo la muda tu watu wenye uwezo wa namna hii watajitokeza.
 
Sikubaliani na wewe kabisa. Ni mazoea yamefanya watu wawe kama watumwa tu. Ukitaka na ukidhamiria kuvunja hiyo circle unavunja bila shida. Tatizo naloliona hapa ni kuwa wengi wa biashara ya viazi na mazao mengine ni watu wenye kipato kidogo na ubunifu mdogo hivyo wanakosa namna ya kujikwamua. Niwe na fedha yangu na niamue kufanya biashara ya viazi uniambie eti ni lazima nitumie dalali? Mtu mwenye fedha nzuri akiamua kujenga godown yenye na cold room na awe na magari ya kusambaza kwa wateja naweza kufanya biashara nzuri kabisa. Na niseme ni jambo la muda tu watu wenye uwezo wa namna hii watajitokeza.
Inawezekana hauishi Tz kwa hiyo unaleta mambo ya kusadikika!!mtu ana uwezo wa kununua mzigo wa milioni 30 huko mbeya wa viazi na kuuleta dar umuite eti ana kipato kidogo?!unaleta habari za cold room wateja wa hivyo viazi unawajua wewe?acheni blaablaa njooni kwenye field muone uhalisia wa mambo,nenda soko lolote kwa dar linalouza mazao uone kama utaingiza gari na kuuza huo mzigo wako mwenyewe bila dalali!!!
 
Inawezekana hauishi Tz kwa hiyo unaleta mambo ya kusadikika!!mtu ana uwezo wa kununua mzigo wa milioni 30 huko mbeya wa viazi na kuuleta dar umuite eti ana kipato kidogo?!unaleta habari za cold room wateja wa hivyo viazi unawajua wewe?acheni blaablaa njooni kwenye field muone uhalisia wa mambo,nenda soko lolote kwa dar linalouza mazao uone kama utaingiza gari na kuuza huo mzigo wako mwenyewe bila dalali!!!
Bora umenisaidia Mkuu....aende shamba pia aone Kama atapata mzigo bila dalalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom