Madalali wa kwenye mazao ni wauaji na wezi

CarloJesus

JF-Expert Member
Nov 5, 2019
431
833
Wasalaam wakuu

Kwa wale wanaojishughulisha na biashara ya mazao ya kilimo na kilimo chenyewe mtakubaliana na hoja yangu hapo juu. Mkulima na mnunuzi wamekuwa wahanga kwa Bei za mazao sababu tuu ya huyu mtu anaitwa dalali. Bei zinaweza kuwa reflected kwa makert price...lakini huyu mtu dalali sio kabisa

Mfano :mkulima unauza kilo 1 ya mchele 1,200/- ...dalali anamwmbia hupati mteja labda uuze kwa 1,000/-. Mnunuzi anaenda kwa dalali anauliza mchele wa Kg 1,200/- dalali anamwambia hupati labda kwa 1,300/-

Kwa hiyo dalali anakuja kupiga faida ya 300/-(1,300-1,000)

Kingine Hawa jamaa ndo anachagua Nani auuze Nani asiuze Nani apate mzigo Nani asipate...ukikosana na mmoja umeharibu...unaweza kaa shamba au porini mpaka umalize mtaji. Mkulima Hali kadhalika anaweza kaa na mzigo wake Hadi amalize pesa ya kula. Hawa watu Selikari iingilie Kati. Ni wanyonyaji

Nb. Hata wale wenye stoo wana chembechembe za utapeli huu
 
Duniani kote dalali hazuiliki, nadhani ungeshauri serikali iwatambue madalali na iwasajiri ili watambulike na wasimamiwe walipe kodi, na hata maslahi ya Wakulima yataimarika. Na ujue kabisa mfano mtu anataka mbaazi yupo China lazima atawatumia madalali wakusanye , wasafirishe nk.
 
Duniani kote dalali hazuiliki, nadhani ungeshauri serikali iwatambue madalali na iwasajiri ili watambulike na wasimamiwe walipe kodi, na hata maslahi ya Wakulima yataimarika. Na ujue kabisa mfano mtu anataka mbaazi yupo China lazima atawatumia madalali wakusanye , wasafirishe nk.
Mkuu Hawa dalali wetu ushawahi kukutana nao?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam wakuu

Kwa wale wanaojishughulisha na biashara ya mazao ya kilimo na kilimo chenyewe mtakubaliana na hoja yangu hapo juu. Mkulima na mnunuzi wamekuwa wahanga kwa Bei za mazao sababu tuu ya huyu mtu anaitwa dalali. Bei zinaweza kuwa reflected kwa makert price...lakini huyu mtu dalali sio kabisa

Mfano :mkulima unauza kilo 1 ya mchele 1,200/- ...dalali anamwmbia hupati mteja labda uuze kwa 1,000/-. Mnunuzi anaenda kwa dalali anauliza mchele wa Kg 1,200/- dalali anamwambia hupati labda kwa 1,300/-

Kwa hiyo dalali anakuja kupiga faida ya 300/-(1,300-1,000)

Kingine Hawa jamaa ndo anachagua Nani auuze Nani asiuze Nani apate mzigo Nani asipate...ukikosana na mmoja umeharibu...unaweza kaa shamba au porini mpaka umalize mtaji. Mkulima Hali kadhalika anaweza kaa na mzigo wake Hadi amalize pesa ya kula. Hawa watu Selikari iingilie Kati. Ni wanyonyaji

Nb. Hata wale wenye stoo wana chembechembe za utapeli huu

Sent using Jamii Forums mobile app

VipI kama ukiamua kwenda moja kwa moja kwa mkulima mkapaelewana bei wenyewe yeye atazuia vipi msiuziane...?
 
Mkuu....
Mimi ni dalali, lakini mimi sio mu uaji wala mwizi.
Lakini mimi sio dadalali wa mazao, ingawa naomba nikiri wazi kwamba watu wengi huibiwa na madalali.
Baada ya kugundua hili, mimi nilibuni mfumo mzuri na wauwazi kati ya muuzaji na mnunuaji na kisha baada ya biashara ninalipwa ujira kwa kazi yangu.
Na hata wateja wangu waliowahi kufanya biashara na mimi watakiri hapahapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu....
Mimi ni dalali, lakini mimi sio mu uaji wala mwizi.
Lakini mimi sio dadalali wa mazao, ingawa naomba nikiri wazi kwamba watu wengi huibiwa na madalali.
Baada ya kugundua hili, mimi nilibuni mfumo mzuri na wauwazi kati ya muuzaji na mnunuaji na kisha baada ya biashara ninalipwa ujira kwa kazi yangu.
Na hata wateja wangu waliowahi kufanya biashara na mimi watakiri hapahapa jf

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hongera na Mungu akubariki

Wewe mfano wa dalali mzuri

Hawa wa mazao,akikupiga pin Hilo soko,hutoki...na Wana ushirikiano noumaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VipI kama ukiamua kwenda moja kwa moja kwa mkulima mkapaelewana bei wenyewe yeye atazuia vipi msiuziane...?
Mkuu, mziki unakuwaga mgumu kwa muuzaji jinsi ya mnunuaji, na kidogo kwa mnunuaji jinsi ya kumpata muuzaji hapa kumbuka mnunuaji hataki kurisk ama hataki kuingia gharama za kumpata muuzaji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
VipI kama ukiamua kwenda moja kwa moja kwa mkulima mkapaelewana bei wenyewe yeye atazuia vipi msiuziane...?
Huwa inakua ngumu...kwa sababu mkulima anakua ignorant kujua selling makert price na wewe mnunuaji unakua ignorant kujua buying makert price

Mkulima anakua desperate kuuza akihofu kuuza Bei ya chini ya soko,kwa hiyo anajificha kwenye koti la dalali...na unaweza kukuta anakoboa mchele,ukamuuliza unauza ,anakwambia hauzi,kumbe anasubiri Nini dalali atasema

Mnunuaji huwezi pata mzigo Hadi umuone dalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom