Habari zenu,
Kuna jamaa mmoja amemwambia Dalali kuwa anapangisha Nyumba yake kwa 150,000 kwa mwezi, dalali alivyokuwa na tamaa akamwambia jamaa kuwa atamleta mpangaji kwa kodi ya 250,000.
Nyumba imepata mpangaji na Dalali kalamba 250,000 yake ya mwezi mmoja.
BAADHI YA MADALALI ACHENI TAMAA MNAWAUMIZA WAPANGAJI.
Kuna jamaa mmoja amemwambia Dalali kuwa anapangisha Nyumba yake kwa 150,000 kwa mwezi, dalali alivyokuwa na tamaa akamwambia jamaa kuwa atamleta mpangaji kwa kodi ya 250,000.
Nyumba imepata mpangaji na Dalali kalamba 250,000 yake ya mwezi mmoja.
BAADHI YA MADALALI ACHENI TAMAA MNAWAUMIZA WAPANGAJI.