hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,539
- Thread starter
- #61
Mkuu SANING'O LOSHILU, hebu niambie ni wapi DUNIANI, daktari anakuwa "cheap labour"??Hapa tunaongelea madaktari wenye MD na kuendelea sio Assistant medical oficcer(AMO), Huyo daktari unayemsema ana uwezo wa kufanya kazi popote pale duniani, Vyuo vingi vya Afya vimeanzishwa hivi karibuni, lakini chuo cha muhimbili(ambako ndio idadi kubwa ya madaktari wanatoka) kilikuwepo toka zamani ikiwa chini ya UDSM hadi mwaka 2007, ingekuwa vizuri ukafanya utafiti na kuangalia kinashika nafasi ya ngapi DUNIANI na nafasi ya ngapi katika vyuo vya afya ndipo utapojua kwanini madaktari wa kitanzania wanatafutwa sana nje, UKISHAFANYA HIVYO NJOO ULETE PROPAGANDA ZAKO HAPA..na shida ya watu wa uelewa kama wako na wasiofanya utafiti matatizo haya yanatokea na hivyo madaktari wanakomolewa!!
kwa idadi ya madaktari 1700(hii ni takwimu ya W/Afya kwani bado hutajishughulisha na kuhakikisha) wakiwemo na mawaziri, wastaafu..subiri mwisho wa mwaka uone wangapi watabaki hapa nchini kwa kile mnachokiita "kazi ya wito"
kwa idadi ya madaktari 1700(hii ni takwimu ya W/Afya kwani bado hutajishughulisha na kuhakikisha) wakiwemo na mawaziri, wastaafu..subiri mwisho wa mwaka uone wangapi watabaki hapa nchini kwa kile mnachokiita "kazi ya wito"