Palitokea madaktari bingwa kutoka nchi 3, CHINA, UJERUMANI na TANZANIA. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.<br /><br />
MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate.<br /><br />
<br /><br />
MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote miwili tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu.<br /><br />
<br /><br />
MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA ......